Ngoja tuoneLeo uhakika wa pdf 100%
Hizo za ndaani kabisa au nje kijiweni paleLeo uhakika wa pdf 100%
Mhhh, sasa hawa watu wanaishije asee???. Na mbona wanakuwaga na viburi vikali au ndio hasira zenyewe?Halmashauri hakuna anayechukua million moja labda DED,MD.
No extra duty.
No allowance.
No semina.
No safari.
Mwendo wa Take home.
Njaa ***** Unawajua ww watu wa halmashauri walivyo Miungu watuMhhh, sasa hawa watu wanaishije asee???. Na mbona wanakuwaga na viburi vikali au ndio hasira zenyewe?
Kwani ulikuwa haujui Oral ndo mtu ndo anaajiriwa.Nimekuja kugundua hawa jamaa wa psrs wanaconsider matokeo ya oral tu siyo mchujo.
Enterview nilifanya na mwamba alpata 98% practical amekosa placement ya juzi ya tanroad na pia kakosa TRC, hapo nazani oral hakufaulu vizuri.
Hii ni kweli, nakumbuka kipindi namaliza oral huko miaka ya 2019 kuna mama mmoja (kutoka kwenye ile team) akaniambia, " umeishapata kazi kijana nenda kamshukuru Mungu". Ni ikawa kweli.interview ni oral written ni mchujo ili uingie oral
Hawa watu ni hatari, kuna sehemu nilienda kuchukua cheti cha kuzaliwa cha mtoto wangu, ile naenda kuchukua control namba nilipie nilikuta watu zaidi ya ishirini( mwenye muda mchache pale ana miezi miwili) wanafuatilia.Njaa ***** Unawajua ww watu wa halmashauri walivyo Miungu watu
😂😂😂aiseeeeHii ni kweli, nakumbuka kipindi namaliza oral huko miaka ya 2019 kuna mama mmoja (kutoka kwenye ile team) akaniambia, " umeishapata kazi kijana nenda kamshukuru Mungu". Ni ikawa kweli.
Hii 2024 ngumu sana kama sio mwaka shufwa vile🤣,sjui 26/27 hali itakuaje aiseeeHii ni kweli, nakumbuka kipindi namaliza oral huko miaka ya 2019 kuna mama mmoja (kutoka kwenye ile team) akaniambia, " umeishapata kazi kijana nenda kamshukuru Mungu". Ni ikawa kweli.
Sikujua..Kwani ulikuwa haujui Oral ndo mtu ndo anaajiriwa.
Kiongozi unashangaa mwaka 1 kuna wengine wanachomolewa wa mwaka 2022......Bora hata ingekuwa ni watu wa kusubili kupangiwa kutoka data base, kumbe kuna watu wengi tu ambao hata mtu mmoja ajachomolewa kutoka katika usahili wao wa oral, na mwaka unakalibia kuisha ni mienzi mingi isha pita, hivyo inapelekea mtu kumchanganya katika malengo yake ya maisha bora hata angejua moja hakuna ajira tu kuliko kusababishia mtu mapresha ya bure tu
Ivi umeelewa kweli kuna tofauti ya database na real placement, hao wa 2022 ni real placement or data base na mm nazungumzia real placement kulingana na tangozo la kaziKiongozi unashangaa mwaka 1 kuna wengine wanachomolewa wa mwaka 2022......
Ugumu wa maisha ukiwa too much mambo yanachange sema Watanzania tunapenda aman sana ila siku Viongozi wakipoteza aman kuja kuirudisha cjui.......Gen Z ya bongo ya mchongo, uchawa kutwa kucha
Pdf za saivi unawaona hata hao unao sema wa mwaka2022 ? Saivi zimefikia mwezi wa tano 2023 nazinaenda juu 2024Kiongozi unashangaa mwaka 1 kuna wengine wanachomolewa wa mwaka 2022......
Mm ninachokiona ndugu ..ukiappply kazi Serikali ukaitwa na kwenye mchujo na kufika oral vzr usitegemee kuitwa kwa haraka ..yani hayo mategemeo yafute kichwani hii itakupunguzia wewe mawazo mengi ..yani ni kama unafanya zako oral Kisha tembea mbele unaendelea na mishe nyingine izo ndogondogo Ili kupata pesa kdg ..lakini ukitegemea tu kwa haraka baada ya oral ndugu yangu hayo mapresha yatakukumba tu ..kikubwa Fanya zako oral afu Kisha Mungu siku yoyote atabless tu unashangaa umeitwa ..Bora hata ingekuwa ni watu wa kusubili kupangiwa kutoka data base, kumbe kuna watu wengi tu ambao hata mtu mmoja ajachomolewa kutoka katika usahili wao wa oral, na mwaka unakalibia kuisha ni mienzi mingi isha pita, hivyo inapelekea mtu kumchanganya katika malengo yake ya maisha bora hata angejua moja hakuna ajira tu kuliko kusababishia mtu mapresha ya bure tu
Mm nilidhani database watu wanawekwa waliofaulu baada ya waliohitajika wametimia,lakini maajabu ata nafasi zilizohitajika ni zaid ya miezi au mwaka hawajaitwa sasa ndipo nashangaaIvi umeelewa kweli kuna tofauti ya database na real placement, hao wa 2022 ni real placement or data base na mm nazungumzia real placement kulingana na tangozo la kazi