Maana yake nn umfanyishe mtu afu akae muda mrefupnMm ninachokiona ndugu ..ukiappply kazi Serikali ukaitwa na kwenye mchujo na kufika oral vzr usitegemee kuitwa kwa haraka ..yani hayo mategemeo yafute kichwani hii itakupunguzia wewe mawazo mengi ..yani ni kama unafanya zako oral Kisha tembea mbele unaendelea na mishe nyingine izo ndogondogo Ili kupata pesa kdg ..lakini ukitegemea tu kwa haraka baada ya oral ndugu yangu hayo mapresha yatakukumba tu ..kikubwa Fanya zako oral afu Kisha Mungu siku yoyote atabless tu unashangaa umeitwa ..
Hii ndo nchi yetu ndugu ishi kwa akili tu .Just an advise tu ..
Ujue shida ni upuziaji wa watu waliko katika mamlaka, hapo suala la utashi na uajibikaji hawalipi kipa umbele, ndo Kama tuliyo yaona jana kenya, walisema na kulalamikia hiyo finacial bills ila watu wenye authorities wanapuuzi kuwasikiliza wakeleketwa na kujiaminisha watafaya nn, ila kumbuka nguvu ya uma ni kubwa kuliko Nguvu ya dola, kiukweli tz inachosha sana na wanasiasaMm ninachokiona ndugu ..ukiappply kazi Serikali ukaitwa na kwenye mchujo na kufika oral vzr usitegemee kuitwa kwa haraka ..yani hayo mategemeo yafute kichwani hii itakupunguzia wewe mawazo mengi ..yani ni kama unafanya zako oral Kisha tembea mbele unaendelea na mishe nyingine izo ndogondogo Ili kupata pesa kdg ..lakini ukitegemea tu kwa haraka baada ya oral ndugu yangu hayo mapresha yatakukumba tu ..kikubwa Fanya zako oral afu Kisha Mungu siku yoyote atabless tu unashangaa umeitwa ..
Hii ndo nchi yetu ndugu ishi kwa akili tu .Just an advise tu ..