Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mm ninachokiona ndugu ..ukiappply kazi Serikali ukaitwa na kwenye mchujo na kufika oral vzr usitegemee kuitwa kwa haraka ..yani hayo mategemeo yafute kichwani hii itakupunguzia wewe mawazo mengi ..yani ni kama unafanya zako oral Kisha tembea mbele unaendelea na mishe nyingine izo ndogondogo Ili kupata pesa kdg ..lakini ukitegemea tu kwa haraka baada ya oral ndugu yangu hayo mapresha yatakukumba tu ..kikubwa Fanya zako oral afu Kisha Mungu siku yoyote atabless tu unashangaa umeitwa ..
Hii ndo nchi yetu ndugu ishi kwa akili tu .Just an advise tu ..
Maana yake nn umfanyishe mtu afu akae muda mrefupn
Mm ninachokiona ndugu ..ukiappply kazi Serikali ukaitwa na kwenye mchujo na kufika oral vzr usitegemee kuitwa kwa haraka ..yani hayo mategemeo yafute kichwani hii itakupunguzia wewe mawazo mengi ..yani ni kama unafanya zako oral Kisha tembea mbele unaendelea na mishe nyingine izo ndogondogo Ili kupata pesa kdg ..lakini ukitegemea tu kwa haraka baada ya oral ndugu yangu hayo mapresha yatakukumba tu ..kikubwa Fanya zako oral afu Kisha Mungu siku yoyote atabless tu unashangaa umeitwa ..
Hii ndo nchi yetu ndugu ishi kwa akili tu .Just an advise tu ..
Ujue shida ni upuziaji wa watu waliko katika mamlaka, hapo suala la utashi na uajibikaji hawalipi kipa umbele, ndo Kama tuliyo yaona jana kenya, walisema na kulalamikia hiyo finacial bills ila watu wenye authorities wanapuuzi kuwasikiliza wakeleketwa na kujiaminisha watafaya nn, ila kumbuka nguvu ya uma ni kubwa kuliko Nguvu ya dola, kiukweli tz inachosha sana na wanasiasa
 
Mm nilidhani database watu wanawekwa waliofaulu baada ya waliohitajika wametimia,lakini maajabu ata nafasi zilizohitajika ni zaid ya miezi au mwaka hawajaitwa sasa ndipo nashangaa
Ndo ilivyo baada ya kupangiwa wale wanao hitajika, wanao baki kama wamefaul no tunasema database sasa
 
Kiongozi kuwa mpole kunamikeka utaona tena 2022 ...Ndo utajua Utumishi hawaeleweke...
Ww mikeka unayoona zaidi ni ya nyuki wadogo....
Ukweli ni kwamba shida haiko tu kwa utumishi ww ingia ndani ya nchi ndo utajua mengi, ukiona mtu mzima analalamika kuhusu tz yake jua kuna mengi anayajua nyuma ya pazia, haya mambo yana system ndefu sio tu hizi ajira za utumishi hata katika vyombo vya ulizi na usalama vyote viko hivyohivyo katika usawa haki na uwazi katika ajira ni kipengere
 
Ngoja niwamegee siri kidogo.

Taasisi zinaingiza watu kimya hasa wanaotoka Halmashauri na ndio maana unakuta.
Watu wanafanya interview hawaitwi kazini hii inatokana nafasi zao zinachukuliwa na waamiaji.

Kingine utumishi wananishangaza sana wanafanyisha watu kibao interview ila wanaowaita kazini ni wachache sana.
 
Bora hata ingekuwa ni watu wa kusubili kupangiwa kutoka data base, kumbe kuna watu wengi tu ambao hata mtu mmoja ajachomolewa kutoka katika usahili wao wa oral, na mwaka unakalibia kuisha ni mienzi mingi isha pita, hivyo inapelekea mtu kumchanganya katika malengo yake ya maisha bora hata angejua moja hakuna ajira tu kuliko kusababishia mtu mapresha ya bure tu
Hii imenitokea mimi tulifanya interview watu kama 100 Nakitu mwaka 2023 mwezi wa nane.

Kiukweli katika wale Watu 100+ mpka naongea muda huu hakuna aliyeitwa kazini.

Je unataka kuniambia sisi mia watatumaliza lini ndo maana leo hii unaona utumishi wanaenda hata mwaka na zaidi.
 
Mm nilidhani database watu wanawekwa waliofaulu baada ya waliohitajika wametimia,lakini maajabu ata nafasi zilizohitajika ni zaid ya miezi au mwaka hawajaitwa sasa ndipo nashangaa
Ngoja nikupe kashule.

Kuna interview mimi niliitwa mwezi wa sita mwajiri alikuwa anahiaji watu 6 na oral wakafanya 66

Sikuenda ila waliendelea kuita watu kazini hadi leo hii nayoongea.

Mimi nikaenda wa nane nikapita oral tukiwa kama 100+ walikuwa wanahitaji watu 50 ila real replacement wakachukua 23 tu nadhani wengine walipachika wanaoamia maana hiyo taasisi ya hela.

Kwa mantiki hiyo Psrs wanaangalia wa kwanza kuingia oral kama alipata 50 ndo wataanza kumtoa ndo maana mpaka leo wamekomaa na database ya mwezi ule wa sita mimi sikuenda ila yetu ya mwezi wa nane hawajagusa hata mmoja.

Kinachonishangaza je sisi ambao tulifanya oral na mfano tulifaulu ikatokea tumefika mwezi wa nane bila kuitwa kazini je Database yetu itakuwa imeexpire.

Japo Naona utumishi now wanachukuwa watu zaidi ya mwaka
 
Ngoja niwamegee siri kidogo.

Taasisi zinaingiza watu kimya hasa wanaotoka Halmashauri na ndio maana unakuta.
Watu wanafanya interview hawaitwi kazini hii inatokana nafasi zao zinachukuliwa na waamiaji.

Kingine utumishi wananishangaza sana wanafanyisha watu kibao interview ila wanaowaita kazini ni wachache sana.
Dah aya bana
 
Back
Top Bottom