Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna pdf hapo juu nimeweka wanayoifuata psrs kumpata mtu.
 
Bahati bahati bahati bahati bahati
Wengine imekuaje,wamezaliwa na mikosi? Kuna watu wanamaliza chuo mwaka huo huo baada ya graduation na kupata vyeti anapata kitengo serikalini tena kupitia utumishi na wengine wana miaka 12 mtaani toka agraduate

Hapo kwenye bahati nakubaliana naye 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…