Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sasa mkuu ss iv watu wngi wanasubir placement,yan interview nyng ss iv ni za halmashauri na wenyewe wapo kimya
 
Taasis zote za moto hazitangaz ajira,watu unataka wajadili nini,halmashauri kibao ndo znatangaza ajira watendaj nao wapo kimya hawana cha kujadili,sasa ivi asilimia kubwa umu wanasubir placement,vichwa vishapata moto tuanze kujadili mitihani wakati ata interview hakuna,interview tulivyofanya nazo wamegoma kutoa majibu yani hatuelew elew apa,may be kama una madini tupe tu yatatusaidia mkuu
 
Na % kubwa bado hatujafanya izo aptitude test, hatuelew sana focus iko wap,angalau tungefanya mbili tatu atleast tungepata experience, lakini ndo nafasi za kazi hakuna...wenzetu ukisoma posts za nyuma za kina Mwifwa mpaka interview zilikua zinagongana same day mtu ana interview mbili au ndani ya wk 1 au mbili mtu ana interview 2 mpaka anajiuliza afanye ipi ache ipi sasa ivi izo ajira za kua naa interviews mbili ziko wapi.????
 
Daaah ivi hamchungulii kule PSRS muone sasa ivi kuna nn? Maana mngefanya tu simple research wala msingesem ivi but tuwape Summary ni kwamba nafasi za kazi nyingi ni za watendaji na ma lecture angalau..
ukiangalia pdf utaona kuwa halmashauri zinabeba watu wengi wa database kwa sasa...kwahiyo sasa hv possibility ya kwenda halmashauri ni 80%
 
Mwaka 2022,2023 ulikuwa best kwa utumishi na aisee ma interview kama yote ajira kama zote.

Ila sio uchafu wa 2024
 

wakitaka madini waende GEITA apa ni pumba tu eti.. 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…