Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Attachments

  • Screenshot_20240710_112907_Chrome.jpg
    Screenshot_20240710_112907_Chrome.jpg
    21 KB · Views: 9
Walinijibu hivyo wakati nime uppload tayr vyeti kwenye acc yangu.
Ok...course yako inahitaj uwe na board certification..mfano..engineer, pharmacist,CPA n.k? Au hiyo post walitaka mtu awe na chet hcho?
 
wale wajinga hawapitii psrs halafu wanachukuaga watu walichuo lao lipo masaki
Sio kweli bhana tanesco wanapitia utumishi na ajira nyingi wanatangazia utumishi hata ukienda kule utumishi ukaangali post za nyuma ajira utawaona tanesco mimi nina wadogo zangu wamepata kazi kupitia utumishi Tanesco
 
Jobless tuangalie hata mpira tutoe stress...
Btw, halmashauri zimeongezeka uko...tusisahau kusoma
 
Sio kweli bhana tanesco wanapitia utumishi na ajira nyingi wanatangazia utumishi hata ukienda kule utumishi ukaangali post za nyuma ajira utawaona tanesco mimi nina wadogo zangu wamepata kazi kupitia utumishi Tanesco
Mwaka huu hawajaachia ajira,sema taasis nyingi mwaka huu mmmh
 
Sio kweli bhana tanesco wanapitia utumishi na ajira nyingi wanatangazia utumishi hata ukienda kule utumishi ukaangali post za nyuma ajira utawaona tanesco mimi nina wadogo zangu wamepata kazi kupitia utumishi Tanesco
zamani sawa ila sasa hivi no.tanesco watu wanaajiliwa lakini umeshawahi kuona tangazo utumishi
 
Sasa diploma ulitaka ulipweje mkuu? Nijuavyo mm salary za diploma zina range hapo kwenye take home serikalini
Inatosha mkuu, otherwise ingekuwa TARURA,TANROAD Au TPDC ningesema walau 750k takehome.. ila kwa TRC kama itafika 500k takehome mimi kwangu inatosha, wewe mkuu ulitaka walipe salary kiasi gani?

Mimi salary ni kwa ajili ya kula,kuvaa,kodi ya nyumba na sadaka kanisani.
 
Back
Top Bottom