Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Basi kama ni hivi hata madaktari wasingeajiriwa huko kwenye hospitali basi , wakajaza clinical officers Hadi kuperform surgery , Maana uhusiano wa technician na Engineer Ndio uhusiano wa medical doctor na clinical officer
sijui wenyewe psrs wanawaza nn....
 
sasa hiyo kazi ya mkataba ulipitia utumishi?.kama ni ndio ukichaguliwa sehemu nyingine hilo gap itakuaje sasa
Tamisemi kaka.

Ndo maana hizo ajira zao juzi za afya nimeomba ila sizipendi kinyama.

Mm natamani nifanye taasisi mshahara wangu huku halmashauri ni mara mbili wa aliyekuwa muhimbili, jkci na interview nimefanya zakutosha.
 

Habari ndugu wananchi wa mikoa ya​

ARUSHA na KILIMANJARO...,​

Kwa mahitaji ya...,​

1.Vyumba (SINGLE SELF , DOUBLE SELF , AU VYA KAWAIDA) ,​

2. Nyumba NZIMA ZA KUPANGA ,​

3. Fremu za biashara KWA MIJI YA MOSHI na ARUSHA ,​

4. MAJENGO mazuri na yanayofaa kwa kuweka​

4.1 Ofisi za taasisi,​

4.2 GODOWN ,​

4.3 KARAKANA (WORKSHOP) ,​

4.4 Sehemu au Jengo la kila aina ya shughuli za kiuchumi 5.MASHAMBA Kwa ajili ya kilimo , ufugaji​

6.Viwanja kwa ajili ya makazi vipo​

6.FULL FURNISHED APARTMENTS ZENYE KILA KITU NDANI ....​


kwa MOSHI na ARUSHA WASILIANA NAMI..​

0672701329/0756294771​




NB. MAELEKEZO YA KINACHOFANYIKA BAADA YA MTEJA KUKUBALI NA KURIDHIKA NA PRODUCT NI KUKUTANISHWA NA MMILIKI HALALI ................


DALALI Lexus SUV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…