Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Polisi siwapendi wabaguzi sana kwa watumishi wasio wanajeshi.Mmh hao hapana wanaweza kukupangia lindo
Hao hawana uwezo huoWakuu halmashauri nao wameshaanza kukataa watu wakienda kuripoti wanawaletea longo longo
Ila utumishi nao washakuwa zoa zoa yaani ukiwa na database unaweza jikuta umeanguka kituo cha polisiHao hawana uwezo huo
kumbe ndo tabia zao basi na sisi tunawakataaPolisi siwapendi wabaguzi sana kwa watumishi wasio wanajeshi.
Mwaka jana utumishi waliwapelekea watu wakawakataa mimi siwapendi na wasinipange huko hata kama database
unakuwa raia mara nyingi kipindi cha Kikwete walikuwa wanaenda kukaa maofisini...Kaka kuna kada yangu ila polisi hapana
Wao wanalipana lesion sijui ma per deim wanafanya majukumu mengi nje na kazi zao.unakuwa raia mara nyingi kipindi cha Kikwete walikuwa wanaenda kukaa maofisini...
Magu alikataa naona Mama kaamua kutoa vijana wake mtaani...
Tunawaacha.kumbe ndo tabia zao basi na sisi tunawakataa
Ukiitwa na usipoenda kazini ndio ushajifukuza kwenye ulaji wa asaliPolisi siwapendi wabaguzi sana kwa watumishi wasio wanajeshi.
Mwaka jana utumishi waliwapelekea watu wakawakataa mimi siwapendi na wasinipange huko hata kama database
Niliitwa nitaenda ila sitamaliza miaka 2 nitahama tu.Ukiitwa na usipoenda kazini ndio ushajifukuza kwenye ulaji wa asali
🤣 🤣 dahTunawaacha.
Mm nakomaa na huu Uzi mpaka waniite kazini.
Siku nikiliona jina langu.
°mshahara wote natoa malimbuko sad aka
°migiro nitaenda na suti nikifika yule dada atakaenipa barua nitampa elfu 10 ya soda.
°sitapokea simu yeyote siku hiyo Maana sitakuwa na cha kueleza kwenye mateso ya kusubiri pdf hawakuwa na mimi
°nikienda kuripoti kazini sitaki mazoea.
°uwekezaji na miradi kwa Sana.
Najua hiyo ndo siku nitapigia simu nyingi kuliko siku zote kuwahi kutokea ila sitapokea kaka.[emoji1787] [emoji1787] dah
Hvy sawaNiliitwa nitaenda ila sitamaliza miaka 2 nitahama tu.
Uzuri kuhama taasisi sio shida kama Halmashauri.
kwanini inaonekana uko moto na raia wamekufanyaje 🤣 🤣Najua hiyo ndo siku nitapigia simu nyingi kuliko siku zote kuwahi kutokea ila sitapokea kaka.
Phina yuko wapi?
Nina wadau wangu wengi wameajiriwa nimebaki mimi pekee yangu.kwanini inaonekana uko moto na raia wamekufanyaje [emoji1787] [emoji1787]
naelewa situation ndugu yangu sio poaNina wadau wangu wengi wameajiriwa nimebaki mimi pekee yangu.
Wengi wananioneaga huruma tu.
Ila mm nachukulia kawaida.
raia wanakuona sio level yao kabisa yanNina wadau wangu wengi wameajiriwa nimebaki mimi pekee yangu.
Wengi wananioneaga huruma tu.
Ila mm nachukulia kawaida.
Mm nishawakataa.raia wanakuona sio level yao kabisa yan
Itafika tu siku yako, kuwa mvumilivu na weka tumaini kwa Mungu pekee ila pia usichoke kujaribu tena na tenaNina wadau wangu wengi wameajiriwa nimebaki mimi pekee yangu.
Wengi wananioneaga huruma tu.
Ila mm nachukulia kawaida.
🤣 🤣 🤣 🤣 iyo siku watajua kilichomtoa nyoka manyoyaMm nishawakataa.
Nafanya maisha yangu.
Sasa siku nikiwa level zao watataka ukaribu kiukweli kaka tumwachie Mungu tu awashangaze