At list diploma n above kupunguza makazi maana kila ukiamka asubuhi dereva mtendaji kumbu kumbu mambo gani haya au ndio siasa zenyeweWao wameona wanaweza kufanya hivyo na wakazimudu, hofu yako nini? Kwani sekretarieti ya ajira iliundwa kushughulikia watu Gani?
Kwani na wewe ni mtumishi wa sekretarieti ya ajira? Hata hivyo hupaswi kuwabagua watu Kutokana na elimu zao. Binafsi sioni changamoto yoyote ikiwa sijawasikia wahusika wanaosimamia zoezi hili wakilalamika kuzidiwa na kazi katika utekelezaji wa majukumu yao waliopewa kwa mujibu wa Sheria. Wewe kuwa mpole kama ipo basi IPO Tu haijalishi nini.At list diploma n above kupunguza makazi maana kila ukiamka asubuhi dereva mtendaji kumbu kumbu mambo gani haya au ndio siasa zenyewe
Samahani usinifokeeeKwani na wewe ni mtumishi wa sekretarieti ya ajira? Hata hivyo hupaswi kuwabagua watu Kutokana na elimu zao. Binafsi sioni changamoto yoyote ikiwa sijawasikia wahusika wanaosimamia zoezi hili wakilalamika kuzidiwa na kazi katika utekelezaji wa majukumu yao waliopewa kwa mujibu wa Sheria. Wewe kuwa mpole kama ipo basi IPO Tu haijalishi nini.
dah kmmmk tusio na marefa tunasota tuMm nina mwamba nilikuwa na nafanya nae kazi dar siku moja kaniambia mzee ajira zikitoka lazima nipate taasisis kubwa tu nikambishia.
Majina kutoka jina lake la kwanza.
Kufuatilia kumbe ana ndugu yake alimpa paper la oral hadi written na wakambeba kwenye interview.
Mm nina jamaa yangu kutwa kuwasiliana na wabunge jina lake kwenye database walipeleke taasisi juzi majina yametoka kwenda wizara Ana mind kinyama ndo kila siku ananishtua na kuniambia wanaweza kumwita tena kwa taasisi wakubwa wanampambania.
Interview gereshi.
Sasa interview ndo useme zifanyiwe mkoani unadhani mambo yatakuwaje.
inamaana tamisemi ndo kunamadudu sioUkiona zimetolewa Tamisemi zimeenda Utumishi.....
Kuna Jambo hapo
Watu waliomaliza zamani watalamba asali 👍
Tamisemi mambo yake ni manual tofauti na hawa PSRS kwenye selected
Huwezi kuamini Interview itafanywa sio kwa online...
Lengo...🖕
Unafokewa au unaambiwa ukweli, wewe unafikiri hawapo humu hao unaotaka wapotezewe na utumishi kwa kuwaona hawastahili kusimamiwa na sekretarieti ya ajira? Unafikiri wanajisikiaje Kutokana na dhana yako potofu ya kibaguzi. Unajiona mtu wa kundi maalumu Sana na hiyo degree yako moja. Unafikiri wao ndiyo wanazuia ridhiki yako kupata ajira kupitia sekretarieti ya ajira? Hebu kaa kwa kutulia kiongozi.Samahani usinifokeee
Utakuwa jobless ww sio kwa hizo hasira🤣🤣😂Unafokewa au unaambiwa ukweli, wewe unafikiri hawapo humu hao unaotaka wapotezewe na utumishi kwa kuwaona hawastahili kusimamiwa na sekretarieti ya ajira? Unafikiri wanajisikiaje Kutokana na dhana yako potofu ya kibaguzi. Unajiona mtu wa kundi maalumu Sana na hiyo degree yako moja. Unafikiri wao ndiyo wanazuia ridhiki yako kupata ajira kupitia sekretarieti ya ajira? Hebu kaa kwa kutulia kiongozi.
Mkuu nataka niombe hizo post aisee vip naweza tumia chet cha six pekeeUnafokewa au unaambiwa ukweli, wewe unafikiri hawapo humu hao unaotaka wapotezewe na utumishi kwa kuwaona hawastahili kusimamiwa na sekretarieti ya ajira? Unafikiri wanajisikiaje Kutokana na dhana yako potofu ya kibaguzi. Unajiona mtu wa kundi maalumu Sana na hiyo degree yako moja. Unafikiri wao ndiyo wanazuia ridhiki yako kupata ajira kupitia sekretarieti ya ajira? Hebu kaa kwa kutulia kiongozi.
Nenda kwenye tangazo la kazi utapata kila unachostahili kukijuaMkuu nataka niombe hizo post aisee vip naweza tumia chet cha six pekee
Wala sina hasira ila sipendezwi na tabia za kibaguzi kabisa, kwa taarifa Tu Mimi nipo kazini huu mwaka wa tano.Utakuwa jobless ww sio kwa hizo hasira🤣🤣😂
Hongera mkuu naomba konnection mdg wako natapatapa huku ni mfa maji aiseeWala sina hasira ila sipendezwi na tabia za kibaguzi kabisa, kwa taarifa Tu Mimi nipo kazini huu mwaka wa tano.
Sina connection, wewe piga kitabu nenda kwenye usahili ukapambane kiume.Hongera mkuu naomba konnection mdg wako natapatapa huku ni mfa maji aisee
Nikafe kiume mkuuSina connection, wewe piga kitabu nenda kwenye usahili ukapambane kiume.
Haya maisha kweli ni mitihani aisee kila kitu mtihani nimesoma darasa la kwanza hadi chuo bado hawaamini tu mpka nifanye tena mtu🤣🤣🤣Sina connection, wewe piga kitabu nenda kwenye usahili ukapambane kiume.
Hauna budi kuukubali ukweli na kuukabili. Miaka ya 2013 kushuka chini Kada ya kilimo walikua wanaajiri kwa kufuata alphabet. Walianza na A wakaishia L, mwaka uliofuata wakaanza kufanya usahili. Sasa fikiria unaitwa Zuberi kwa wakati ule ungekuwa na hali Gani. Hivyo mchakato wa usahili ni mzuri Tu, vyema ukajianda vizuri.Haya maisha kweli ni mitihani aisee kila kitu mtihani nimesoma darasa la kwanza hadi chuo bado hawaamini tu mpka nifanye tena mtu🤣🤣🤣
Haaahahah mkuu hii nchi imepitia mengi sana kwa kutumia alphabet duuHauna budi kuukubali ukweli na kuukabili. Miaka ya 2013 kushuka chini Kada ya kilimo walikua wanaajiri kwa kufuata alphabet. Walianza na A wakaishia L, mwaka uliofuata wakaanza kufanya usahili. Sasa fikiria unaitwa Zuberi kwa wakati ule ungekuwa na hali Gani. Hivyo mchakato wa usahili ni mzuri Tu, vyema ukajianda vizuri.
Mkuu sasa hivi mambo yamebadilika ni connection sana na rushwa kwa wingi sanaHauna budi kuukubali ukweli na kuukabili. Miaka ya 2013 kushuka chini Kada ya kilimo walikua wanaajiri kwa kufuata alphabet. Walianza na A wakaishia L, mwaka uliofuata wakaanza kufanya usahili. Sasa fikiria unaitwa Zuberi kwa wakati ule ungekuwa na hali Gani. Hivyo mchakato wa usahili ni mzuri Tu, vyema ukajianda vizuri.
Ilikua hivyo ulizia watu wa Kada ya kilimo miaka tajwa hapo juu watakupa ushuhuda zaidi.Haaahahah mkuu hii nchi imepitia mengi sana kwa kutumia alphabet duu