Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mimi Jobless sugu ngoja nilale.kwanza nipumzishe fuvu huku nikiota Placement .
Ila Utumishi hii tabia yao ya kuitisha interview halafu hawatoi Placement aisee
 
kuna watu wanaraha jamani just imagine sasa hivi kuna watu wanakaribia chalinze wameweka vishoka karibu na dereva pale uelekeo dom dah hio furaha yake unaweza kumrukia dereva shingoni aisee..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ,Utumishi kama wachawi vile ,nasikia ukiota Placement Ndio hupati kabisa
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dingi aliniambia usipo soma Electrical Engineering nisione uso wako hapa kwangu na tusijuane kuanzia leo
Nikaona haya makubwa tena.
Nikafyata mkia
haya mwambie akupe hele ya subaru sasa kama ataweza maana ye ndo chanzo
 
Oral ulifanyia mkoa gani?

Wale ambao mnaenda kwenye oral(kwa sasa ambapo written ni Online halafu wewe ni Me) kama unamudu room za 10k hadi 15k, kalale kwenye hizo room, kama huwezi kuzimudu kalale stand kama alivyofanya huyu jamaa ili kuepuka adha za kufikia nyumbani/geto kwa watu iwe mtu wa aina yeyote yule.

Kingine, hustle za kimya kimya ni nzuri sana ili kuepusha kelele zisizokuwa na maana kwa Walimwengu.

Waache waje wafurahie ushindi baadae na hapo ndipo utaona watakapokupa heshima kama zote.

Hakikisha hukati tamaa kwenye kupambana.
 
Majobless wenye ndugu dodoma tunateseka, ukifikia kwao kero ukifikia mtaani lawama, shida tupu, ila aisee! Msemacho ni kweli, ndugu hukuthamini ukiwa na kitu, ukiwa huna mbele wala nyuma hakuna kabisa heshima
Nenda kimya kimya fanya ishu zako sepa, hamna haja ya kutoa taarifa kuwa unaenda mkoa/mji alipo yeye
 
Hahahahaa, uzi huwa unapitia vipindi tofauti tofauti sana

Akina kyagata, Yankule(kashabadili ID kwa sasa) walikuwa hawakopeshi maneno ila baada ya placement wakapotea kwenye uzi
 
Hv practical interview napo n Dodoma au siyo 😔
 
Kwanza mm naendaga saa 2 usiku asubuhi Niko dodoma naunga Utumishi usiku nakesha chako ni chako nasubiri majibu nikimaliza oral huyo dar na Nina ndugu kama wote dodoma
H kwenda Dom usiku na kufika asubuhi moja kwa moja kwenda kufanya interview nataka kuifanya next interview kama ntaitwa ila nawaza sana kama nikichelewa itakuaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…