Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kusikitika na kuumia roho ni kama unataka kujihesabia haki ..nakushauri mimina tu moyo wako kwa Mwenyezi Mungu
 
Na mm napitia hayo hayo ndugu kwani umesomea kada gani
 
Ukisha ona unaingia k wenye mfumo haufunguki ujue kuna ka pdf ukiona inafunguka chapu 😆😆 hamna kitu wangetupa hata moja ya weekend
 
Inaumiza sana mkuu. Ila wakati wa Mungu ni wakati sahihi. Amini utalamba asali siku sio nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…