Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Achana na kitambulisho cha NIDA, tafuta barua ya utambulisho kutoka ofisi ya mtaa.

Hata hivyo kinachoangaliwa ni majina sahihi, sijawahi kusikia wamekagua tarehe za kuzal

Achana na kitambulisho cha NIDA, tafuta barua ya utambulisho kutoka ofisi ya mtaa.

Hata hivyo kinachoangaliwa ni majina sahihi, sijawahi kusikia wamekagua tarehe za kuzaliwa
Thanks champ...
 
😁😁 mambwiga mbwiguke vijana mna maneno
Haya manjonjo mkayaoneshe kwenye interview😀
 
Naomba kuelekezwa.
Iv interviews zote za utumishi zinafanyikia Dodoma au kuna baadhi zinafanywa kwa kanda.
 
Ndio mana sifatilii kabisa ajira za serikali. kama mtu unamishe zako ni ngumu sana kupata kazi serikalini kwa sababu ukifikiria muda na pesa uaache mambo yako ya kukuingizia hela uende ukabet Dodoma.
Aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…