Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu, ikiwa unataka kuapply kazi mbili tofauti, ukisha apply kazi ya kwanza kwenye kipengele cha CV, ile CV unadelete au unaedit ? Ili uweke CV ya kazi ya pili.
Wapi Ajira Portal? Ikiwa ni huko hata hawaconsider ile CV uliyoweka. Wanaconsider kozi uliyosoma na kama umemeet vigezo vya kuomba hiyo kazi as per maelekezo.
 
NAWEZA NKAPATA HUMU JOB DESCRIPTION ZA AJIRA ZA WALIMU
i. Prepare work resolutions, lesson plans, lesson notes, and a work plan for other assigned duties.

ii. Develop and review teaching and learning materials.

iii. Teach, assess, and maintain records of students' progress.

iv. Monitor and track students' attendance at school and in class.

v. Oversee the intellectual, physical, and spiritual development of students, and provide counseling and guidance.

vi. Provide professional and academic advice on educational development.

vii. Manage and maintain school equipment and property.

viii. Perform other duties as assigned by the Head of School, in line with the school's responsibilities.
 
Asante
 
Kwahy hapa kila duty natakiwa niisome kwa undani au nizsome hzo in general
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…