Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

20240825_142822.jpg
 
Hii hata siwezi kuchoma nauli kwenda dom 🙄
😀😀 toka tupate uhuru nafikiri ndo Tangazo la kwanza la hvi
Unajiuliza miaka yote nani alikuwa mzikaji na kwann waone kuwe na watu maalumu ya hicho kitengo na hizo maiti zitakuwa zinatoka wapi maana hawa wstakuwa wanakula salary kila mwezi,duuuuh awamu ya 6 nyoko sana aisee
 
😀😀 toka tupate uhuru nafikiri ndo Tangazo la kwanza la hvi
Unajiuliza miaka yote nani alikuwa mzikaji na kwann waone kuwe na watu maalumu ya hicho kitengo na hizo maiti zitakuwa zinatoka wapi maana hawa wstakuwa wanakula salary kila mwezi,duuuuh awamu ya 6 nyoko sana aisee
Wakachomoe watu database mzee 😂😂😂😂 kama naona vijana wakiikataa placement
 
Back
Top Bottom