Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yn mpaka watu wa afya na waalimu wamalize mambo yao, aisee sisi wngn tuwe wapole mpaka mwezi wa 11 ndio tutaanza kukumbukwa.
Na hapo n mpaka pdf za replacement za waalimu na watu wa afya zipite ndio na sisi tukumbukwe.
Hakuna hiyo mkuu sooon nenda rud za wasimamizi ni gharama zaid hiii itakuwa weka tuweke

Ila kodi za wananchi zinatumika aisee per diem mmoja anaweza kukunja 600k je wapo wangapi mikoa yote 20+ kwa mantiki ipi??

Hiii tume wangeweka utaratibu at list kuomba ajira mtu alipie 10k kwa ajila taasisi ipate kujiendesha!! Kama tunavyo omba chuo kujiunga.
 
Hakuna hiyo mkuu sooon nenda rud za wasimamizi ni gharama zaid hiii itakuwa weka tuweke

Ila kodi za wananchi zinatumika aisee per diem mmoja anaweza kukunja 600k je wapo wangapi mikoa yote 20+ kwa mantiki ipi??

Hiii tume wangeweka utaratibu at list kuomba ajira mtu alipie 10k kwa ajila taasisi ipate kujiendesha!! Kama tunavyo omba chuo kujiunga.
Pointless aka Pumba
 
Hakuna hiyo mkuu sooon nenda rud za wasimamizi ni gharama zaid hiii itakuwa weka tuweke

Ila kodi za wananchi zinatumika aisee per diem mmoja anaweza kukunja 600k je wapo wangapi mikoa yote 20+ kwa mantiki ipi??

Hiii tume wangeweka utaratibu at list kuomba ajira mtu alipie 10k kwa ajila taasisi ipate kujiendesha!! Kama tunavyo omba chuo kujiunga.
Chief ikiwa jobless hajui kula yake iko vipi.
alafu hana guarantee ya kupata kazi huoni kama unalazimisha wabeti.
 
Vyuo vingi vya afya vimeshindwa kufuta ujinga wa wanafunzi wao...haiwezekani mwanachuo akashindwa kusoma na kufuata maelekezo madogo yaliyowekwa kwenye tovuti ya psrs zaid ya mwezi...
Atatibu vipi wagonjwa vijijini uko...
Leo kuna raia wamekosa interview kizembe
 
Vyuo vingi vya afya vimeshindwa kufuta ujinga wa wanafunzi wao...haiwezekani mwanachuo akashindwa kusoma na kufuata maelekezo madogo yaliyowekwa kwenye tovuti ya psrs zaid ya mwezi...
Atatibu vipi wagonjwa vijijini uko...
Leo kuna raia wamekosa interview kizembe
Mkuu Nini kimetokea tujulishe
 
Naona wamefunga Portal leo, wamehisi kuna watu wanaweza kujipangia vituo au...
Mpk wamefunga portal sijui tu uko vilio baada ya paper
 
Naona wamefunga Portal leo, wamehisi kuna watu wanaweza kujipangia vituo au...
Mpk wamefunga portal sijui tu uko vilio baada ya paper
Hawajafunga, ila c usaili n kupitia mtandao hvy lazima waushushe ili watahiniwa wamalize kazi zao pamoja na kuwawekea matokeo yao.
Hvy tutegemee hayo ikifika zamu ya waalimu.
 
Back
Top Bottom