Usiku sana mtandao lazima ukae sawa, hvy jobless bado hawezi kupata kisingizio ety kushindwa kuomba nafasi kisa mtandao.hizo post mbili za kazi mpaka deadline itafika ajira portal itakua inazingua jamaa ni wachokozi
Nilichosema ni Mama kumletea bosi wakati yy kakaimu mwaka mzima...hapa mama hajamfanyia fair sababu hii kitu inauma sanaLakini tusitukane mamba kabla ya kuvuka mto, kumbuka huyo aliyekaimu ndiye mkurugenzi pia wa HRs kama sio utawala pale PSRS. Bado ni mkandaji
Huenda vetting yake ime-fail, pia kumbuka hapo PSRS wakuu wake huwa ni watu wa ile taasisi nyeti, huenda yeye sio nyoka. Kumbuka hata Xavier Daudi aliletwa hapo kutokea majengo yale ya OysterbayNilichosema ni Mama kumletea bosi wakati yy kakaimu mwaka mzima...hapa mama hajamfanyia fair sababu hii kitu inauma sana
Huu ni usumbufu mpaka mtu apite kwenda oral ina maana amekidhi vigezo vya kufanya mtihani kwanini umbebeshe tena mavyeti. Kwanini asibebe ID peke yake. Nchi ya hovyo kweli hiiLabda tuwakumbushe tu, Siku ya kufanya oral wabebe makabrasha yote kama walivyobeba kwenye written. Wasije kusema hatukuwaambia
Unapata uzito gn kubeba hizo documents?Huu ni usumbufu mpaka mtu apite kwenda oral ina maana amekidhi vigezo vya kufanya mtihani kwanini umbebeshe tena mavyeti. Kwanini asibebe ID peke yake. Nchi ya hovyo kweli hii
Kwenye oral ndio unaenda kukutana na mwajiri mwenyewe au mwakilishi wa mwajiri, lazima na yeye ajiridhishe.Huu ni usumbufu mpaka mtu apite kwenda oral ina maana amekidhi vigezo vya kufanya mtihani kwanini umbebeshe tena mavyeti. Kwanini asibebe ID peke yake. Nchi ya hovyo kweli hii
Its Risky.Unapata uzito gn kubeba hizo documents?
Risky ya nnIts Risky.
Kuna interview nilifanya kampuni moja ya waingereza hapa Dar. Waliomba niwatumie cheti cha degree na Id kwa portal yao. Baada ya kutuma wakanipa reference number. Siku ya interview wanaomba reference number waliyokupa ukiwatajia computer yao ina mark green color unaingia ndani kufanya mtihani.Kwenye oral ndio unaenda kukutana na mwajiri mwenyewe au mwakilishi wa mwajiri, lazima na yeye ajiridhishe.
Sasa hapo Unazungumzia utaratibu wa sehemu mbili tofauti, na ndo tatizo lako linapoanzia.Kuna interview nilifanya kampuni moja ya waingereza hapa Dar. Waliomba niwatumie cheti cha degree na Id kwa portal yao. Baada ya kutuma wakanipa reference number. Siku ya interview wanaomba reference number waliyokupa ukiwatajia computer yao ina mark green color unaingia ndani kufanya mtihani.
Ndio mambo Mh Rais anayapigia kelele kila siku. Kwanini mifumo isisomane. Waajiri wakipewa majina ya watakaofanya Oral, wasome details zao kwenye portal moja kwa moja. Yani tunafanya mambo kuwa magumu na marefu.Sasa hapo Unazungumzia utaratibu wa sehemu mbili tofauti, na ndo tatizo lako linapoanzia.
Cha kufanya, ww njoo na utaratibu wako afu na utumishi nao waje na utaratibu wao then utajua nani mkubwa kumzidi mwenzie
Nmekusoma mkuu, bc sio kosa la utumishi, ni kosa la serikali kwa ujumlaNdio mambo Mh Rais anayapigia kelele kila siku. Kwanini mifumo isisomane. Waajiri wakipewa majina ya watakaofanya Oral, wasome details zao kwenye portal moja kwa moja. Yani tunafanya mambo kuwa magumu na marefu.
Au atakuwa amestaafuHuyo alikaimu tu na sasa ataendelea na utumishi wake kama kawaida kwa nafasi nyingine ama ile aliyokuwa nayo mwanzo kabla ya kukaimu au nyingine atakayopewa hapo PSRS.
Bado hajafikia umri wa kustaafu.Au atakuwa amestaafu
Hakuna haja ya kuithibitisha Rita.Wakuu naomba kuuliza, kutokana na hii shida wanahokutana nayo watu wa afya ....je Cheri cha kuzaliwa Cha mwaka 97 hamna shida au lazima nithibitishe Rita??
Lucas Mwashambwa. Huyo asali hajalamba kutwa jukwaani kumsifia mama tuKama alikuwa hawashinikizi wahusika automatically kahuska kuchelewesha. Ukute alikalia kumsifia tu mama, unategemea atakuwa na lolote
Afanye nin mkuu mimi mmoja wao sijathibitisha chet ritaHakuna haja ya kuithibitisha Rita.
Umeelewa swali lake na Mm nilichokijibu?Afanye nin mkuu mimi mmoja wao sijathibitisha chet rita
Nisamehe mkuu nimekosea mimiMnatoa tuhuma nzito bila kuwa na ushahidi wowote kisa placement tu ndugu zangu? Nani kahonga? Lini? Kahonga shilingi ngapi? Alimtumiaje/alimpaje? Alipangiwa kituo cha kazi?? Alifaulu au hakufanya kabisa interview? Mbona we hujahonga upate placement TPDC au TCRA?
Tunahitaji mshauri nasaha kwenye huu uzi.