Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Afanye nin mkuu mimi mmoja wao sijathibitisha chet rita
Acheni habari za vijiweni Maticha, Hizo habari za Rita ni huko kwenye kuomba mikopo ya Elimu ya juu au Kati.

Huku utaratibu umeainishwa kwenye tangazo la kazi husika, toa kopi nyaraka zako zote za kitaaluma, na vyeti vingine, peleka kwa hakimu athibitishe kwa kukugongea muhuri, hii ilikuwa kipindi cha kufanya maombi ya kazi na kama ulifanya kinyume chake interview utaisikilizia kwenye vyombo vya habari.

Endapo umeitwa interview wewe beba nyaraka original, nenda nazo kwa ajili ya uhakiki, pale hawahitaji muhuri wa mahakama, labda kama una kiapo au deedpoll.
 
Monosex
 
Yote hayo mtu anayesema " kitaa sio poa Jaman!!!!..
Mama(rais) kama Mama(rais) ngoja tuone maamuzi yake yakumuweka Katibu mpya...
Tunazidi kuombea mema zaid ndani ya PSRS
 
Ni Stress rafiki zako wote uliosoma nao wanapata kazi, wanaoa na kuoelewa, wanafanikiwa na wewe unaona kabisa mambo yako hayaendi 🤔
Mungu atusaidie
Hichi kitu huwa kinaniumiza sana, takribani rafiki zangu wote niliosoma nao wamejenga🤔 mimi bado naranda randa tu😳ila One Day Yes😎 Mwenyezi Mungu namuomba sana katika hili, na nina imani atanijibu kwa kishindo🤗🙏
 
Hichi kitu huwa kinaniumiza sana, takribani rafiki zangu wote niliosoma nao wamejenga🤔 mimi bado naranda randa tu😳ila One Day Yes😎 Mwenyezi Mungu namuomba sana katika hili, na nina imani atanijibu kwa kishindo🤗🙏
Amin wakati ukifika na wewe utatimiza vyote ivyo, kila Jambo linawezekana mkuu kikubwa Iman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…