HahahahaHahaha 🤣 🤣 😂 😂 iyo nimekubali nililiwa kichwa,
Unanikumbusha mbali nikisikia AICC moyo wote unavuja damu.
Ila wakuu not selected for oral baada ya kufanya oral ujue ni umeliwa kichwa aka ndoige aka mama jeni bye bye.
Acheni habari za vijiweni Maticha, Hizo habari za Rita ni huko kwenye kuomba mikopo ya Elimu ya juu au Kati.Afanye nin mkuu mimi mmoja wao sijathibitisha chet rita
MonosexAcheni habari za vijiweni Maticha, Hizo habari za Rita ni huko kwenye kuomba mikopo ya Elimu ya juu au Kati.
Huku utaratibu umeainishwa kwenye tangazo la kazi husika, toa kopi nyaraka zako zote za kitaaluma, na vyeti vingine, peleka kwa hakimu athibitishe kwa kukugongea muhuri, hii ilikuwa kipindi cha kufanya maombi ya kazi na kama ulifanya kinyume chake interview utaisikilizia kwenye vyombo vya habari.
Endapo umeitwa interview wewe beba nyaraka original, nenda nazo kwa ajili ya uhakiki, pale hawahitaji muhuri wa mahakama, labda kama una kiapo au deedpoll.
Yote hayo mtu anayesema " kitaa sio poa Jaman!!!!..Mnatoa tuhuma nzito bila kuwa na ushahidi wowote kisa placement tu ndugu zangu? Nani kahonga? Lini? Kahonga shilingi ngapi? Alimtumiaje/alimpaje? Alipangiwa kituo cha kazi?? Alifaulu au hakufanya kabisa interview? Mbona we hujahonga upate placement TPDC au TCRA?
Tunahitaji mshauri nasaha kwenye huu uzi.
Hao ndio psrs sasa....hapo mbona wamelegeza sababu nafasi nyingi...kuna wakati 1:3 haifanyi kazWakuuu kwa matokeo haya na idadi ya waombaji hiyo aisee kutoboa ni issue kama hujasoma kutoboa ni uongo sana
Inayeyuka kivp anioi sehemu ya placement muda si mrefu inayeyuka 🤣 🤣
zile pdf zinaisha patakua na no placementInayeyuka kivp ani
Watatoa pdf katibu bado anasignzile pdf zinaisha patakua na no placement
Hichi kitu huwa kinaniumiza sana, takribani rafiki zangu wote niliosoma nao wamejenga🤔 mimi bado naranda randa tu😳ila One Day Yes😎 Mwenyezi Mungu namuomba sana katika hili, na nina imani atanijibu kwa kishindo🤗🙏Ni Stress rafiki zako wote uliosoma nao wanapata kazi, wanaoa na kuoelewa, wanafanikiwa na wewe unaona kabisa mambo yako hayaendi 🤔
Mungu atusaidie
Amin wakati ukifika na wewe utatimiza vyote ivyo, kila Jambo linawezekana mkuu kikubwa Iman.Hichi kitu huwa kinaniumiza sana, takribani rafiki zangu wote niliosoma nao wamejenga🤔 mimi bado naranda randa tu😳ila One Day Yes😎 Mwenyezi Mungu namuomba sana katika hili, na nina imani atanijibu kwa kishindo🤗🙏
Hapana. eneo la usahili kuna Computer labHizi interview ni lazima uwe na PC ?
🙏🙏Amina CaptainAmin wakati ukifika na wewe utatimiza vyote ivyo, kila Jambo linawezekana mkuu kikubwa Iman.