Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna muda nikiwa nasoma huu uzi, natamani uwe na comments nyingi nikijipa imani nitakutana na habari njema 😔
Never give up naamini mda wako utafika mwenyezi Mungu anagawa ridhiki kwa mda wake.

Nb status ziwe selected for oral both app and web
 
Never give up naamini mda wako utafika mwenyezi Mungu anagawa ridhiki kwa mda wake.

Nb status ziwe selected for oral both app and web
Hv ikiwa selected for oral interview ina maana upo kwenye database, yn ulifaulu oral ila hukupata nafasi ya kuajiriwa?

Mana h ishu hua siielewi kabisa.
 
Hv ikiwa selected for oral interview ina maana upo kwenye database, yn ulifaulu oral ila hukupata nafasi ya kuajiriwa?

Mana h ishu hua siielewi kabisa.
Ukiona selected for oral apo placement mda wowote ila ukiona not selected for oral baada ya oral ujue umepigwa ndoige au umekandwa
Na apo inatakiwa uangalie kwenye app kwenye web huwa aibadiliki.

Hakuna kitu kinauma kama not selected for oral baada ya oral apo jua ni
Mama jeni bye bye aka mkando Nina uthibitisho wa kutosha na hili.
 
Tuna Selected for Oral
Haijawahi kubadilika
Mwaka haujaisha
Na Sasa tupo kwenye usaili wa kada ileile.
 
Na mwenye not selected for practical interviews na wakati Hana option ya practical. Hii nayo imekaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…