Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Hujakutana kabisa na hii poster mitandaoni?Hizi interview ni lazima uwe na PC ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujakutana kabisa na hii poster mitandaoni?Hizi interview ni lazima uwe na PC ?
🤣 🤣 sahauKuna muda nikiwa nasoma huu uzi, natamani uwe na comments nyingi nikijipa imani nitakutana na habari njema 😔
Never give up naamini mda wako utafika mwenyezi Mungu anagawa ridhiki kwa mda wake.Kuna muda nikiwa nasoma huu uzi, natamani uwe na comments nyingi nikijipa imani nitakutana na habari njema 😔
Hv ikiwa selected for oral interview ina maana upo kwenye database, yn ulifaulu oral ila hukupata nafasi ya kuajiriwa?Never give up naamini mda wako utafika mwenyezi Mungu anagawa ridhiki kwa mda wake.
Nb status ziwe selected for oral both app and web
Wanaziona ila wavivu kuzisoma wwnakuwa waulizaji tuu😀😀 kazi ipo aiseeeHujakutana kabisa na hii poster mitandaoni?View attachment 3086671
Ukiona selected for oral apo placement mda wowote ila ukiona not selected for oral baada ya oral ujue umepigwa ndoige au umekandwaHv ikiwa selected for oral interview ina maana upo kwenye database, yn ulifaulu oral ila hukupata nafasi ya kuajiriwa?
Mana h ishu hua siielewi kabisa.
Tuna Selected for OralUkiona selected for oral apo placement mda wowote ila ukiona not selected for oral baada ya oral ujue umepigwa ndoige au umekandwa
Na apo inatakiwa uangalie kwenye app kwenye web huwa alibadiliki.
Hakuna kitu kinauma kama not selected for oral baada ya oral apo jua ni
Mama jeni bye bye aka mkando Nina uthibitisho wa kutosha na hili.
Jamaa hawana huruma kabisaAssistant nursing
waliohudhuria=4789
walitoboa oral=3236
waliosindikiza=1553
cut off 60
Mmmh
Maisha hayana formula. Kutangulia sio kufikaHichi kitu huwa kinaniumiza sana, takribani rafiki zangu wote niliosoma nao wamejenga🤔 mimi bado naranda randa tu😳ila One Day Yes😎 Mwenyezi Mungu namuomba sana katika hili, na nina imani atanijibu kwa kishindo🤗🙏
Hata kidogo..hapo bado wamepunguziwa practical...wangebaki 500Jamaa hawana huruma kabisa
Relax kuwa mvumilivu mkuu watu wanapata placement ata baada ya mwaka.Tuna Selected for Oral
Haijawahi kubadilika
Mwaka haujaisha
Na Sasa tupo kwenye usaili wa kada ileile.
Nishaipotezea Boss.Relax kuwa mvumilivu mkuu watu wanapata placement ata baada ya mwaka.
Exactly 🤗Maisha hayana formula. Kutangulia sio kufika
Fact no kukata tamaa tupambane tena.Nishaipotezea Boss.
Naenda kuipambania hii ya hivi karibuni. Insha-Allah
Mkuu vp karibu bana...umemaliza paper?Kwann mikeka haitoki au katibu hajapewa ofisi bado
Na mwenye not selected for practical interviews na wakati Hana option ya practical. Hii nayo imekajeUkiona selected for oral apo placement mda wowote ila ukiona not selected for oral baada ya oral ujue umepigwa ndoige au umekandwa
Na apo inatakiwa uangalie kwenye app kwenye web huwa aibadiliki.
Hakuna kitu kinauma kama not selected for oral baada ya oral apo jua ni
Mama jeni bye bye aka mkando Nina uthibitisho wa kutosha na hili.
Hyo aendelee kupambanaNa mwenye not selected for practical interviews na wakati Hana option ya practical. Hii nayo imekaje