Mwanjangle
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 294
- 331
"Your warmly welcome, and and we wish you all the best"? Umeyatimba au umeyaweza"See you next time" ujue hapo ushayakoroga😂😂
Labda watoe kimkoa unaweza kuta ukapita ata na iyo 52 yako, lakini wakifanya kucompare cutpoint ya mikoa yote unaweza kuwa wa mkoa X ana 70 ndio wa kwanza afu mkoa Y mwenye 80 ndio wa mwisho hapa sijuhi itakaaje, Hii inafikirisha sanaHapa hatujapata jibu Ila tunahisi Luna dalili ya Mfano MD akawa wa mwisho mkoa X kwa kupata 70 na mkoa mwingine wa kwanza akawa na 70 wa mwisho 50 Hii ndo hatujapata jibu tunawasubiri
Kigoma ukipata 50Labda watoe kimkoa unaweza kuta ukapita ata na iyo 52 yako, lakini wakifanya kucompare cutpoint ya mikoa yote unaweza kuwa wa mkoa X ana 70 ndio wa kwanza afu mkoa Y mwenye 80 ndio wa mwisho hapa sijuhi itakaaje, Hii inafikirisha sana
Kwamba awe mzalendo na mkoa wake aliochagua 😂Kigoma ukipata 50
Dar ukapata 70
Usitegemee wewe wa Dar utaenda Kigoma..hiyo imetoka...utaambiwa uzalendo
Kumbe ndio ilivyo, inamaana utakapoombea ndio hapo hapo una struggle for fittest kikubwa ufaulu kuwazidi wengine kulinga na nafasi zinazotakiwa😂Kigoma ukipata 50
Dar ukapata 70
Usitegemee wewe wa Dar utaenda Kigoma..hiyo imetoka...utaambiwa uzalendo
Aliyepata 80 Dar ,asitegemee ataenda kufanya kazi kigoma kisa mtu wa kwanza kigoma ana 60. Nadhani nimemuelewa hivyoKwamba awe mzalendo na mkoa wake aliochagua 😂
Unaambiwa serikali inatoa huduma kwahyo kama ww umechagua kutoa huduma Dar na mwingine anaenda Kigoma..bas pambaneni na mlipochagua😀😀😀Kwamba awe mzalendo na mkoa wake aliochagua 😂
Aliyepata 80 Dar ,asitegemee ataenda kufanya kazi kigoma kisa mtu wa kwanza kigoma ana 60. Nadhani nimemuelewa hivyo
Lazima uelewe ule umuhimu wa kila mtu kufanya usaili kwenye mkoa alioomba ajira. Hapo wanaangalia matokeo kimkoa kwanza. Kama mkoa hautakuwa na watu wa kutosha kuziba nafasi zao zilizotangazwa ndo wataletewa waliofaulu kutoka mikoa ya jirani.Labda watoe kimkoa unaweza kuta ukapita ata na iyo 52 yako, lakini wakifanya kucompare cutpoint ya mikoa yote unaweza kuwa wa mkoa X ana 70 ndio wa kwanza afu mkoa Y mwenye 80 ndio wa mwisho hapa sijuhi itakaaje, Hii inafikirisha sana
Nakubaliana na wewe mkuu. Na hapo hakuna wa kulaumiwa maana kila mtu aliomba mkoa anaotaka yeye. Kama mkoa ulioomba ni more competitive na unajua hauna uwezo basi imekula kwakoLazima uelewe ule umuhimu wa kila mtu kufanya usaili kwenye mkoa alioomba ajira. Hapo wanaangalia matokeo kimkoa kwanza. Kama mkoa hautakuwa na watu wa kutosha kuziba nafasi zao zilizotangazwa ndo wataletewa waliofaulu kutoka mikoa ya jirani.
Kama lengo ni kuangalia overall waliofaulu kungekuwa hakuna haja ya kwenda kufanya usaili ulipoombea kazi.
Mbona kuanzia 2020-2023 watu walikuwa wanalamba asali na shuhuda zipo humu....Sio uki tu mzee...taasisi nyeti kupata kaz mtihani
Ata mwaka huu watu wamelamba, idadi ya wanaopata ajira ni ndogo sana unakuta raia 2 tu mwaka mzimaMbona kuanzia 2020-2023 watu walikuwa wanalamba asali na shuhuda zipo humu....
Tatizo.....
Baada ya lile Tangazo kutolewa(kila Taasisi kuajiri)ndo mambo yamekuwa Magumu....
Yote wanabebana na ishu ilitengenezwa wao kwa wao walikuwa na Lengo lao na 👍..
Sasa kuelekea Uchaguzi mpira urudi tena Utumishi mambo yaendelee
Watu wa afya karibu mikoa yote ratio ya kupambania nafasi 1 iliendana ,mfano kuna mikoa nafasi 1 watu 4 na mingine watu 5 mpaka 6 adi 7 yani hapa ndio kivumbi. Competition kubwa sana uko mikoaniNakubaliana na wewe mkuu. Na hapo hakuna wa kulaumiwa maana kila mtu aliomba mkoa anaotaka yeye. Kama mkoa ulioomba ni more competitive na unajua hauna uwezo basi imekula kwako
HIi ina mantiki, hizi sahili za afya kuna mkoa X kada flani waliofanyia written hapo wahakupita ata mmoja kwenda oral, hivyo candidates kutoka mkoa Y ndio walipigia oral pale na nafasi zilizohitajika ni zaidi ya wale waliofika pale. Ina maana kuna uwezekano kabisa wa kuchukua watu wa mikoa mingine waliofaulu oral kuziba nafasi waziLazima uelewe ule umuhimu wa kila mtu kufanya usaili kwenye mkoa alioomba ajira. Hapo wanaangalia matokeo kimkoa kwanza. Kama mkoa hautakuwa na watu wa kutosha kuziba nafasi zao zilizotangazwa ndo wataletewa waliofaulu kutoka mikoa ya jirani.
Kama lengo ni kuangalia overall waliofaulu kungekuwa hakuna haja ya kwenda kufanya usaili ulipoombea kazi.
Eh afya ipi hy hawakupita kwenda oral?HIi ina mantiki, hizi sahili za afya kuna mkoa X kada flani waliofanyia written hapo wahakupita ata mmoja kwenda oral, hivyo candidates kutoka mkoa Y ndio walipigia oral pale na nafasi zilizohitajika ni zaidi ya wale waliofika pale. Ina maana kuna uwezekano kabisa wa kuchukua watu wa mikoa mingine waliofaulu oral kuziba nafasi wazi
Madogo wanakushangaa tuu mbona bro hajawahi kutoka ht nje muda wote upo ndan unabadili Tv channels tuujaman utumish wengine ndo wa kwanza kwenye familiaaaa thatha madogo wapata picha gan