Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Umeandika pumba japo Mimi sio mwalimu.

Kuna mahusiano yapi kufanya saili na kuacha kusoma ualimu.

So hata watu wataaacha kusoma udaktari kwa sababu ya usaili

Kila mtu alisomea kitu kwa sababu zake, wengi niliosoma nao moja ya sababu waliokua wanatoa ni kupata ajira bila kua na purukushani nyingi(rejea miaka ya nyuma angalia sector ya ualimu namna ambavyo walikua wanapata ajira).
 
Kwa izo kauli zako fala anajulikana ni nani?

Hauna point na dalili ya ilo ni kutoa matusi.

Mwenye pint atoagi matusi.
Haya wewe mwenye point .

Jibu swali langu unadhani Walimu walisoma ili waajiriwe bila usaili.?

Usaili ni kigezo kitakachowafanya watu wasisome ualimu?

Wewe si Una akili jibu maswali na hoja kamili
 
Haya wewe mwenye point .

Jibu swali langu unadhani Walimu walisoma ili waajiriwe bila usaili.?

Usaili ni kigezo kitakachowafanya watu wasisome ualimu?

Wewe si Una akili jibu maswali na hoja kamili
Hana hoja huyo bali utoto umemjaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…