Kuna mda unawaza sanaaa mpaka unakuta unaongea mwenyewe kitaa mambo hayaendi ....jaman utumish wengine ndo wa kwanza kwenye familiaaaa thatha madogo wapata picha gan
Madogo wanakushangaa tuu mbona bro hajawahi kutoka ht nje muda wote upo ndan unabadili Tv channels tuu
Weka bando la kutosha...IT anasainisha PDF uko, msikae kinyonge
Waalimu mkaongeze received
Umeandika pumba japo Mimi sio mwalimu.Kwahyo sikuiz rasmi waalimu washaingia katika mfumo wa kufanyiwa interview??
Aisee hii nina uhakika litapunguza watu kukimbilia kusomea ualimu..
Mambo hubadilika lazima wakubaliane na hali ya sasaKwahyo sikuiz rasmi waalimu washaingia katika mfumo wa kufanyiwa interview??
Aisee hii nina uhakika litapunguza watu kukimbilia kusomea ualimu..
Umeandika pumba japo Mimi sio mwalimu.
Kuna mahusiano yapi kufanya saili na kuacha kusoma ualimu.
So hata watu wataaacha kusoma udaktari kwa sababu ya usaili
Afya Je?Kila mtu alisomea kitu kwa sababu zake, wengi niliosoma nao moja ya sababu waliokua wanatoa ni kupata ajira bila kua na purukushani nyingi(rejea miaka ya nyuma angalia sector ya ualimu namna ambavyo walikua wanapata ajira).
Afya Je?
Acha ufala umeongea pointless.Acha kukaza fuvu, hapo nimeongelea ualimu ninaoujua mimi wewe elezea icho unachokijua ww pia..
Acha ufala umeongea pointless.
Halfu utetewe
Haya wewe mwenye point .Kwa izo kauli zako fala anajulikana ni nani?
Hauna point na dalili ya ilo ni kutoa matusi.
Mwenye pint atoagi matusi.
Hana hoja huyo bali utoto umemjaa.Haya wewe mwenye point .
Jibu swali langu unadhani Walimu walisoma ili waajiriwe bila usaili.?
Usaili ni kigezo kitakachowafanya watu wasisome ualimu?
Wewe si Una akili jibu maswali na hoja kamili