Pale sio hakuelewi mzee kunakuaga na mmoja ambae anakupoteza concentration sasa wewe ukijikologa ukamzingatia umepotea pale wewe shuka madude acha atingishe kichwa mpka achokeIla kuna mshikaji like alikuwa hanielewi nachojibu kabisa,ila kuna wamama walitikisa hadi kichwa aisee, sijui kwavile maswali niliyaelewa yale!?
Mkuu mungu akubaliki ni Mimi apa endelea kutupia vitu.
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
gud mzee hebu tupe walichouliza wengine wajifunze naoHabari ya mchana humu.
Nashukuru nimetoka salama kwenye usaili wa mahojiano.
Ahsanteni sana na madini na uzoefu mliotoa humu ili tuishi nao.
ππ½ππ½π
Na ikawe hivo mkuu.Msimamo wangu nitaendelea kuomba kwa kadri ninavyokuwa na qualifications,na endapo sitakuwa na hela ya kwenda sitaenda maana it is just trying.Mara paap upo kwenye placement.
We plan, God decide!
Tuishi mkuu
Ahsante sana mkuu.Hongera mwenzangu though hatujajuana,nimetoka hapo muda si mrefu, pole na hongera mkuu
Sawa nitaweka hapa nikitulia, npo barabarani sasa.gud mzee hebu tupe walichouliza wengine wajifunze nao
Poa poa mzee ikawe heriSawa nitaweka hapa nikitulia, npo barabarani sasa.
OUT naona wamerudia tangazo la nafasi za kazi sijui walifanya wote walikandwa, pia hata kama walikandwa kwani wasichukue watu toka kanzi data ya IAE , ADEM n.k maana pale nafasi ya Tutorial Assistant wangeweza chukua watu toka sehemu hizo labda zile za masters ndio wangerudiaPoa poa mzee ikawe heri
Duh mzee mbn unarhisisha sana maisha kanzi data kutoka chuo cha kti mpk chuo kikuu?OUT naona wamerudia tangazo la nafasi za kazi sijui walifanya wote walikandwa, pia hata kama walikandwa kwani wasichukue watu toka kanzi data ya IAE , ADEM n.k maana pale nafasi ya Tutorial Assistant wangeweza chukua watu toka sehemu hizo labda zile za masters ndio wangerudia
Sawa kaka mungu akubalikiZipitie hizo mkuu nipikata mda nitakuchekia zingine lakini usisahau hizo mzee hawawezi kuchomoka hata swali moja mawili watatoa tu pitia na notes zako za hr za chuo
Iyo ipo sana me kunajamaa Kila ninachojibu alikua anasema your answer is too short pia anacheka duuuuh nikajua nimeisha ila pdf ilovotoka mambo yakawa sawa tuu sometimes wanafanyaivo kukupima confidence Yako tuuuIla kuna mshikaji like alikuwa hanielewi nachojibu kabisa,ila kuna wamama walitikisa hadi kichwa aisee, sijui kwavile maswali niliyaelewa yale!?
Sifa za IAE ni GPA ya 3.8 hakuna tofauti na OUT. Pia wapo waliofanya oral ya Adem na wana GPA KUBWA na wanasifa za KUFUNDISHA CHUO KIKUU. MTU KUFANYA USAILI WA VYUO VYA KQTI HAINA MAANA KWAMBA NDIO HANA SIFA ZA KUWA T.O japo wengine kweli hawana maana wana GPA ya 3.5. Mfano mimi Nilifanya IAE nikakandwa awamu ya kwanza, , DUCE nilifika mpaka oral ila sikubahatika kuitwa kazini now nasubiri placements ya ADEM.Duh mzee mbn unarhisisha sana maisha kanzi data kutoka chuo cha kti mpk chuo kikuu?
Note: mtu anaweza fanya usaili wa vyuo vya kati na akawa na sifa hata ya chuo kikuu ila mtu ambaye ana gpa ya 3.5 huyu ndio hawezi. Japo nasikia hata wale waliosoma vyuo vya kati hata kama wana GPA kubwa hawawezi kuwa ma T.O kwa vyuo vikuu vilivyochini ya TCU ila hili sina uhakika nalo.Sifa za IAE ni GPA ya 3.8 hakuna tofauti na OUT. Pia wapo waliofanya oral ya Adem na wana GPA KUBWA na wanasifa za KUFUNDISHA CHUO KIKUU. MTU KUFANYA USAILI WA VYUO VYA KQTI HAINA MAANA KWAMBA NDIO HANA SIFA ZA KUWA T.O japo wengine kweli hawana maana wana GPA ya 3.5. Mfano mimi Nilifanya IAE nikakandwa awamu ya kwanza, , DUCE nilifika mpaka oral ila sikubahatika kuitwa kazini now nasubiri placements ya ADEM.
Sawa mkuu natulia.Ila mpaka muda huu najiona mshindi hata kufika pale maana ndo application ya kwanza na nimefika hadi kwa wajuba mbele
ππππHii scenario yakucheka nilikutana nayo asa nilikuwa nishawajua hata sikujisumbua kumfikiria nilishuka zangu nikasepaIyo ipo sana me kunajamaa Kila ninachojibu alikua anasema your answer is too short pia anacheka duuuuh nikajua nimeisha ila pdf ilovotoka mambo yakawa sawa tuu sometimes wanafanyaivo kukupima confidence Yako tuuu
Mimi ni mnene wastan jamn, rangi ya kunde, na jana Mwifa atakuwa ameniona tu, ni vile my ID is very important now, English figure ndo sina[emoji1787]Hivi prok alikuwepo na leo kwn? Ila nimekaona kamdada kamevaa still kana English figure hivi na kamevaa wiving, yani kana wajihi wa prok kabisaaa
πππMaji ya kunde hawaunguagi na jua bhnaMimi ni mnene wastan jamn, rangi ya kunde, na jana Mwifa atakuwa ameniona tu, ni vile my ID is very important now, English figure ndo sina[emoji1787]
Imagine function za CAG Constitution imezitaja tatu, wao wanataka 5, sijui hili swala la points tano walilitoa wapi utumishi[emoji3], sijui hizo mbili nlizitoa wapi mimi za kuongezea[emoji3]Iyo ipo sana me kunajamaa Kila ninachojibu alikua anasema your answer is too short pia anacheka duuuuh nikajua nimeisha ila pdf ilovotoka mambo yakawa sawa tuu sometimes wanafanyaivo kukupima confidence Yako tuuu
Yaaani sijui kawafundisha Nani wanafanya kukuhesabia mpk zitimie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukikutana na steps ndo balaaImagine function za CAG Constitution imezitaja tatu, wao wanataka 5, sijui hili swala la points tano walilitoa wapi utumishi[emoji3], sijui hizo mbili nlizitoa wapi mimi za kuongezea[emoji3]
Sawa mkuuIyo ipo sana me kunajamaa Kila ninachojibu alikua anasema your answer is too short pia anacheka duuuuh nikajua nimeisha ila pdf ilovotoka mambo yakawa sawa tuu sometimes wanafanyaivo kukupima confidence Yako tuuu