Achana naoWakuu ajira portal limtandao lao linanigomea. Inakera sana eti nimekosea password wakati kila siku na log in kwa fingerprint
Unafuata nini na wewe...Wakuu ajira portal limtandao lao linanigomea. Inakera sana eti nimekosea password wakati kila siku na log in kwa fingerprint
Inasema incorrect password shida itakuwa mtandaoWakuu ajira portal limtandao lao linanigomea. Inakera sana eti nimekosea password wakati kila siku na log in kwa fingerprint
Wamepata Chaka la kujifichiahapa pdf ndo niagieni
hako cha tanapa katawaka mpaka wa 12Wamepata Chaka la kujifichia
ππhako cha tanapa katawaka mpaka wa 12
Hakuna pdf tena kaka ...hako cha tanapa katawaka mpaka wa 12
ππππππhako cha tanapa katawaka mpaka wa 12
ni kweli aisee yaani miyeyusho kweli aiseeHakuna pdf tena kaka ...
Mpaka mwakani January.
Soon kabla ya mwezi wa 10 kuisha ila wale jamaaπHakuna pdf tena kaka ...
Mpaka mwakani January.
Wengi wana masomo mawili nahisi hiyo hesabu igawanywe kwa mbiliNiwakumbushe tu ndugu zangu mnaosaka ajira walio vyuoni na mlio na wadogo zenu vyuoni kuwa hali ya ajira katika taifa hili ni mbaya mno tena isiyoelezeka, mfano nlichokiona kwa hizi ajira za walimu mfano simple tu ,Tangazo la ajira lilitoa nafasi 184 kwa walimu wenye degree ya Kiswahili, lakini cha ajabu pdf la walioitwa usaili ni 28202. Hapo means nyomi ya watu 28018 ni wasindikizaji. Note, za kuambiwa changanya na zako ushauri wangu watu wasijikite sana kutafuta elimu kwa nyakati hizi hasa wale wanaotarajia kuajiriwa
Kuna wengine inagoma na kuandika incorrect log in!! Nadhani ni mchezo mchafu unachezwa hapa!! PSRS toeni tamko!!Wakuu ajira portal limtandao lao linanigomea. Inakera sana eti nimekosea password wakati kila siku na log in kwa fingerprint
Hata afya ilikuwa inafanya hivyo, jua kuna updates zinaendelea ndio maana wanaiweka undermaintanance kwa muda then wanaachia isitoshe itaenda hivyo mara kwa mara mpaka mtakapoanza intervyuu zenu. Kuweni wapole, wanaenda wanaifunga na kuiachiaKuna wengine inagoma na kuandika incorrect log in!! Nadhani ni mchezo mchafu unachezwa hapa!! PSRS toeni tamko!!