@wizy unaona? nilikuambia..Mimi ni mnene wastan jamn, rangi ya kunde, na jana Mwifa atakuwa ameniona tu, ni vile my ID is very important now, English figure ndo sina[emoji1787]
Mimi nashukuru jana, nilikuwa najibu point zinapitiliza tano na wao wanaendelea kunisikiliza tu, hapo ni kwa swali nililolielewa vizuri.Yaaani sijui kawafundisha Nani wanafanya kukuhesabia mpk zitimie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukikutana na steps ndo balaa
Mlikuwa wote kwenye oral leo?Ila pia nimejifunza kitu,kuwa ukiwa kijana yakupasa kupambana kutafuta settlement ya kazi kama umesoma.Na hata ukianguka usikate tamaa.Nimekutana na jamaa ameomba na kuitwa interviews kama 8 hivi na hajawahi kata tamaa.Mpaka utumishi wanamjua
Labda ngoja tuoneFungu la kumi
Hahahaaa, hizo hizo za kwenye Act hamna kuongeza zingine, ukiongeza ujue ni kinyume cha sheria maana unaweka sheria yako[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alipiga jana katoka kichwa kimepata moto balaa yeye ana point tatu za CAG afu wanataka point 5
Helsb kada etu haikuwepoHahahaa, Prok atakuwa kamaliza jana, sijamsikia aseme kuhusu HESLB
Una wazo zuri sana, ila nakushauri badilisha avatar yakoFungu la kumi
Hapo ningekuwa Mimi ningewambia aseeh katiba imetupa majukumu matatu sasa labda mniambie Kuna katiba nyingine au😂😂😂😂Hahahaaa, hizo hizo za kwenye Act hamna kuongeza zingine, ukiongeza ujue ni kinyume cha sheria maana unaweka sheria yako[emoji3][emoji3]
😂😂😂😂Vipi mkuu avatar yake imekuvuruga hahhhUna wazo zuri sana, ila nakushauri badilisha avatar yako
😂😂😂😂Ulipata bahati sana mzee hii kazi ni yako mkuu niaminiMimi nashukuru jana, nilikuwa najibu point zinapitiliza tano na wao wanaendelea kunisikiliza tu, hapo ni kwa swali nililolielewa vizuri.
zipo nyingi tu,jibidiishe tu kusoma!Hapo ningekuwa Mimi ningewambia aseeh katiba imetupa majukumu matatu sasa labda mniambie Kuna katiba nyingine au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itoke tu tujue moja maana, stutus zinatuchanganya sana aiseeeNasikia harufu ya placement
Sawa nabadiliUna wazo zuri sana, ila nakushauri badilisha avatar yako
tatizo linakujaga kama hukuzipitia unajua unaweza kusoma mengi ukasahau vitu vidgo halafu vikatoka hivyozipo nyingi tu,jibidiishe tu kusoma!
hebu njoo pm tuongee mkuuSawa nabadili
Tushajizoesha hivyo labda, maana kwenye sheria kama unahitaji kufanya any other extra work itaandikwa, ukifanya kazi out of sheria hasahasa hizi taasisi ambazo zimekuwa established na constitution lazima tuquestion. Unless ukichukua hizo tatu ukazivunja vunja.zipo nyingi tu,jibidiishe tu kusoma!
Status zinaletaga wenge sanaItoke tu tujue moja maana, stutus zinatuchanganya sana aiseee
Uamuzi mzuri, maana sisi majobless hatuna hata pesa za kuhonga, tukiona picha kama hizo ndio mawazo ya kuchukua Sheria mkononi yanakujaga😂😂Sawa nabadili
Hahhhhhh kijana wahovyo amekuja😂😂😂😂😂😂😂Uamuzi mzuri, maana sisi majobless hatuna hata pesa za kuhonga, tukiona picha kama hizo ndio mawazo ya kuchukua Sheria mkononi yanakujaga😂😂
Majobless tunapitia meengii