Bado zamu Yako upo njiani😅vp unakufa au🤣🤣🤣
Nahisi litakuwepo maana nasikia IT ni mwananchiTutegemee PDF na Leo jumapili?? Au Leo bila bila ??
Utajua tuu, subiri 😂vp unakufa au🤣🤣🤣
Soon subiri wamalize uchaguzi wa serikali za mitaaPSRS Tunaomba mtuite na sisi wengine kwa interview...
Kaka uchaguzi was serikali za mitaa mwisho trh 27/11 hapo sio soon .. hapo mwezi mzima kakaSoon subiri wamalize uchaguzi wa serikali za mitaa
Daaah noma sana, tuendelee kuwasikilizia make apo ikimalizika nov. Ni mpaka mwakani kaziniKaka uchaguzi was serikali za mitaa mwisho trh 27/11 hapo sio soon .. hapo mwezi mzima kaka
Usahili unaweza pigwa mwezi wa 11 mwishoni adi 12 shule na vyuo vikifungwaDaaah noma sana, tuendelee kuwasikilizia make apo ikimalizika nov. Ni mpaka mwakani kazini
Vyuo gani unaongelea mkuu. Huo muda ndio vyuo vinakuwa vimefunguliwa na masomo yamepamba moto. Labda kama unaongelea vyuo hivi vya Quran tukufuUsahili unaweza pigwa mwezi wa 11 mwishoni adi 12 shule na vyuo vikifungwa
Waache ungese, sisi tunawasubiri wao tuanze maisha, na wao wanangoja uchaguzi upite.Kaka uchaguzi was serikali za mitaa mwisho trh 27/11 hapo sio soon .. hapo mwezi mzima kaka
Utumishi mkisafisha data base kwa vijana wenu kwa Taasisi hizi...Hakika hatuna la kusema kwenu
HongeraASANTE MUNGU NA MALAIKA WAKE ATIMAYE NIMEPATA KAZI...
Haikuwa Rahisi.
Hizo wanachukua vipanga wanaopata first seating sio wale wanaokosa na kusubiri database
Utumishi ukifaulu wale wa kwanza hupangiwa kwa muajiri ambaye ndipo ulifanyiwa interview wale wanaobaki database ndio hupangiwa kwenye muajiri mwingne ambaye ana uhitajii,,,,,, utumishi wao wanachukulia taasisi zote ni sawa.Hizo wanachukua vipanga wanaopata first seating sio wale wanaokosa na kusubiri database
😂😂😂Vyuo gani unaongelea mkuu. Huo muda ndio vyuo vinakuwa vimefunguliwa na masomo yamepamba moto. Labda kama unaongelea vyuo hivi vya Quran tukufu
Sisi waalimu itakuwaje wakuu sail zetu zimeairishwaa aisee
Hizo wanachukua vipanga wanaopata first seating sio wale wanaokosa na kusubiri database
Kweli kabisaUtumishi ukifaulu wale wa kwanza hupangiwa kwa muajiri ambaye ndipo ulifanyiwa interview wale wanaobaki database ndio hupangiwa kwenye muajiri mwingne ambaye ana uhitajii,,,,,, utumishi wao wanachukulia taasisi zote ni sawa.
Tumekalili vibaya.....Hizo wanachukua vipanga wanaopata first seating sio wale wanaokosa na kusubiri database