Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hizo wanachukua vipanga wanaopata first seating sio wale wanaokosa na kusubiri database

Hizo wanachukua vipanga wanaopata first seating sio wale wanaokosa na kusubiri database
Utumishi ukifaulu wale wa kwanza hupangiwa kwa muajiri ambaye ndipo ulifanyiwa interview wale wanaobaki database ndio hupangiwa kwenye muajiri mwingne ambaye ana uhitajii,,,,,, utumishi wao wanachukulia taasisi zote ni sawa.
 
Utumishi ukifaulu wale wa kwanza hupangiwa kwa muajiri ambaye ndipo ulifanyiwa interview wale wanaobaki database ndio hupangiwa kwenye muajiri mwingne ambaye ana uhitajii,,,,,, utumishi wao wanachukulia taasisi zote ni sawa.
Kweli kabisa
 
Hizo wanachukua vipanga wanaopata first seating sio wale wanaokosa na kusubiri database
Tumekalili vibaya.....
Pitia vinzuri mikeka...
Pitia vinzuri kanuni zao Utumishi utagundua kitu
UTUMISHI hawana ubaguzi huo ....
Kuna Taasisi tamu hata hao vipanga hawapo ukisoma Tangazo lao la ajira Taasisi utashika kichwa(wanachotaka wao Uwajibikaji )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…