Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Hapana kaka nilichoka mkataba nilikuwa nataka Nipate ajira ya Ku settle na kufanya maisha.Kumbe mema ya ushayazoea[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kaka nilichoka mkataba nilikuwa nataka Nipate ajira ya Ku settle na kufanya maisha.Kumbe mema ya ushayazoea[emoji16]
Ushauri: kabla hujaenda migiro katoe zaka kwanza🙏Mungu kwanza🤗Hapana kaka nilichoka mkataba nilikuwa nataka Nipate ajira ya Ku settle na kufanya maisha.
Hapana kaka nilichoka mkataba nilikuwa nataka Nipate ajira ya Ku settle na kufanya maisha.
Ushauri: kabla hujaenda migiro katoe zaka kwanza🙏Mungu kwanza🤗
😂😂😂Acha kabisa kaka, Imagine unamuhaidi kujenga kanisa peke yako🥴🥴Unakute alishamuhaidi mungu vitu ambavyo hata utekelezaji wake si mchezoo.. Jobless tunapitia changamoto sanaa
Kama alikuwa hana madeni, lakini wengi wetu mishahara kama miwili hivi ni kulipa madeni tuUshauri: kabla hujaenda migiro katoe zaka kwanza🙏Mungu kwanza🤗
Tafrani tupu. Mimi nilifurahi walimu kuitwa usaili ili wamalizane nao na sie gombania goli tuendelee lakini hali ishakuwa mbaya sie wengine tutaitwa usaili mwakani kama ndio mpaka wamalizane na walimu.Sisi waalimu itakuwaje wakuu sail zetu zimeairishwaa aisee
Mkuu bora wawapige chini kwanza haki sawa ifanyike tu au kama wameshindwa wawaludishe tamisemi tuTafrani tupu. Mimi nilifurahi walimu kuitwa usaili ili wamalizane nao na sie gombania goli tuendelee lakini hali ishakuwa mbaya sie wengine tutaitwa usaili mwakani kama ndio mpaka wamalizane na walimu.
Take home kwa ambae alisoma kwa mkopo ni Tsh 897,220HV MD tamisemi take-home anabakiwa na kama sh ngap
Kaa kwa kutulia mwalimu. Zamu yako ya kukandwa itafika. Wamesema kuahirishwa sio kufutwaJaman ko sisi waalimu itakuwaje sasa na interview hazipo tena????
Ndio neema hiyo. Maana utaitwa kwenye usaili soonTafrani tupu. Mimi nilifurahi walimu kuitwa usaili ili wamalizane nao na sie gombania goli tuendelee lakini hali ishakuwa mbaya sie wengine tutaitwa usaili mwakani kama ndio mpaka wamalizane na walimu.
😂😂😂Acha kabisa kaka, Imagine unamuhaidi kujenga kanisa peke yako🥴🥴
MD -Tamisemi washaita?HV MD tamisemi take-home anabakiwa na kama sh ngap
dah hongera sana Utawala2025 tumepoteza mtu muhimu sana😀😀😀😀ASANTE MUNGU NA MALAIKA WAKE ATIMAYE NIMEPATA KAZI...
Haikuwa Rahisi.
vp unakufa au🤣🤣🤣Huu mwaka hauishi nawaaga 😂