pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
Hongera sana mkuu, Mwenyezi Mungu akutangulie na kukuepusha na mabalaa huko kwenye asali🙏🙏MUNGU NI MWEMA NA MIMI NIMEPATA 🙌
Aandae na 10k ya mdada mzuri😁Bila shaka kashanyoosha suti
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Aandae na 10k ya mdada mzuri[emoji16]
Wanaotaka TRA na BOT wakipata ata halmashaur waendeUna maoni gani kuhusu huo ujumbe
Ngoja akakutane na njemba ndio inampa barua 😂Aandae na 10k ya mdada mzuri😁
Hapo sawa.Wanaotaka TRA na BOT wakipata ata halmashaur waende
kabisaHapo sawa.
Kiufupi ni kuwa huo utaratibu utazuia urasimu wa watu kuchagua vituo vya kazi wanavyovitaka.
So mtu akijua itakuwa vigumu kupata nafasi tena kupitia PSRS anaamua aende kuripoti, sasa suala la kwenda anapopataka litakuwa mikononi mwake kuhusu maamuzi ya kuhama.
😂😂Ataishia kucheka tuNgoja akakutane na njemba ndio inampa barua 😂
mmh sioni hata dalili 🤣 🤣Bado zamu Yako upo njiani😅
aya ngoja tusubiriUtajua tuu, subiri 😂
Dah ! Rahsully kimya sana , jamaa wameamua kutupigia chini nini maana hii sio data base tena aisee tunaenda miaka miwili sasa hivi ,maana ni mwaka na miezi minne sasa toka tumepiga ile interviewUmeme wenzangu mko wapi nmewamiss,Tuendelee kusubir hatuna namna.
Kaka I pray for You,,,one day Yes.pdf zote zingekuaga zinatoka nzitonzito kama hivi sa hivi wote humu tungekua tunapigwa na ma AC
Ukirudi na barua utoe mrejesho ,wa mwajiri na wapi unakwenda tuje kukutembelea tukipunga ipepo😂🤣Asante kwa kunikumbusha rafiki yangu.
Nadhani Zote nitazitekeleza Elfu 10 mtu analamba,
Suti tayari Niko naelekea migiro hapa.
Lazima nitoe sadaka.
Uwekezaji muhimu mshahara hautoshi
ahsante sana ndugu yangu nakutakia kila lakheriKaka I pray for You,,,one day Yes.
Nakuombea kaka.
I feel you in next few daysAsante kwa kunikumbusha rafiki yangu.
Nadhani Zote nitazitekeleza Elfu 10 mtu analamba,
Suti tayari Niko naelekea migiro hapa.
Lazima nitoe sadaka.
Uwekezaji muhimu mshahara hautoshi
Kwan wamejua wanaenda wap wizaran au tamisemi tujue moja?Nadhan watu wa afya wameisha kwenye huu uzi