Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wanaotaka TRA na BOT wakipata ata halmashaur waende
Hapo sawa.

Kiufupi ni kuwa huo utaratibu utazuia urasimu wa watu kuchagua vituo vya kazi wanavyovitaka.

So mtu akijua itakuwa vigumu kupata nafasi tena kupitia PSRS anaamua aende kuripoti, sasa suala la kwenda anapopataka litakuwa mikononi mwake kuhusu maamuzi ya kuhama.
 
Hapo sawa.

Kiufupi ni kuwa huo utaratibu utazuia urasimu wa watu kuchagua vituo vya kazi wanavyovitaka.

So mtu akijua itakuwa vigumu kupata nafasi tena kupitia PSRS anaamua aende kuripoti, sasa suala la kwenda anapopataka litakuwa mikononi mwake kuhusu maamuzi ya kuhama.
kabisa
 
Asante kwa kunikumbusha rafiki yangu.

Nadhani Zote nitazitekeleza Elfu 10 mtu analamba,

Suti tayari Niko naelekea migiro hapa.

Lazima nitoe sadaka.

Uwekezaji muhimu mshahara hautoshi
I feel you in next few days
 
Back
Top Bottom