Mwanjangle
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 294
- 331
HATUA ZA KUCHUKUA BARUA YA KAZIKwan wamejua wanaenda wap wizaran au tamisemi tujue moja?
Waishe tu, na sisi wengine tukumbukwe. Nimetoka kuongeza received nyingine ya NECTA muda sio mrefuNadhan watu wa afya wameisha kwenye huu uzi
HATUA ZA KUCHUKUA BARUA YA KAZI
1. HATUA YA KWANZA NI KWENDA ASHA ROSE KUCHUKUA BARUA YA PLACEMENT. LKN HAINA KITUO CHA KAZI.
2. UNAENDA WIZARANI AREA D HAPO UTAJIANDIKISHA NA KUPEWA FORM MBILI MOJA YA AFYA NA NYINGNE NA VENDOR AU MALIPO , AMBAYO UNAJAZA TAARIFA ZA BANK NA KWENDA BANK KUSAINIWA.
3. UNATOA COPY 2 KWA KILA VYETI NA CV ILA VYETI VYA FORM 4 NA 6 COPY 3, CURRENTLY PASSPORT 2.
4. UNAVIPELEKA TENA WIZARANI NDO UTAPEWA BARUA YA KUPANGIWA KITUO.
One pdfTarehe 16/10...............Pdf 2
Tarehe 17/10 ..............pdf 0
Tarehe 18/10 ...............pdf 1
Tarehe 19/10 ................Pdf 2
Tarehe 20/10 ................Pdf 1
Tarehe 21/10 .............. Predict!!
Leo bila bilaTarehe 16/10...............Pdf 2
Tarehe 17/10 ..............pdf 0
Tarehe 18/10 ...............pdf 1
Tarehe 19/10 ................Pdf 2
Tarehe 20/10 ................Pdf 1
Tarehe 21/10 .............. Predict!!
Halafu wanapenda kuzitoa usiku au jioni sijui kwa nini!One pdf
Utaacha watu wazimie! Placement za afya bado sana! Hadi sasa MDA tu ndio wametoa placent lakini LGA bado kabisa!! Labda kama wameunganisha MDA na LGA chini ya mwanvuli wa wizara ya afya!Leo bila bila
Kitaa pamoto sanaaa....Watu tumechoka kusubiri mtaani, usipokuwa na mchongo wa maana jua linakuwakia vibaya
😂😂😂Hawa ni wizara ya afya pamoja na tamisemi zote umo umo, watu wamechukuliwa idadi tofauti na tangazo la kazi, mpaka sasa wizara ya afya 1 tamisemi 0Utaacha watu wazimie! Placement za afya bado sana! Hadi sasa MDA tu ndio wametoa placent lakini LGA bado kabisa!! Labda kama wameunganisha MDA na LGA chini ya mwanvuli wa wizara ya afya!
Waliopata walete ushuhuda. Janabi ameshaita watu wake hukoKa pdf ka leo ni kakiwaki flani hivi🥴
Hamna mwenye shuhuda leo?
Utumishi wameamuaKa pdf ka leo ni kakiwaki flani hivi🥴
Hamna mwenye shuhuda leo?
Ka muhimbili😂Ka pdf ka leo ni kakiwaki flani hivi🥴
Hamna mwenye shuhuda leo?
DAtabase ya 2023 mwezi september duuh🙌🙌Utumishi wameamua
Mwaka mzima ukute watu washakata tamaa kitu inatiki saizDAtabase ya 2023 mwezi september duuh🙌🙌