Wale tulipDAh kuna mwamba yeye kaenda leo kufuata barua anasema kapangiwa health centre labda kama ananipanga tu
inawezekana,, ila almost wale wote ninaowafahamu wako RRH.DAh kuna mwamba yeye kaenda leo kufuata barua anasema kapangiwa health centre labda kama ananipanga tu
Wapo mkuu, inategemeana na familia uliyotoka.nilitaka nishangae jobless apate ushepu kama huo kwa raha gani
Ina maana hata hao waliopelekwa vituo vya afya na halmashauri wapo chini ya wizara ya afya??Wale tulip
inawezekana,, ila almost wale wote ninaowafahamu wako RRH.
Usiku wa mananeKwahiyo leo ni bila bilaπ‘
Yaan nlivyoona wameanza kuita mpaka mwezi wa 9 nkasema duh,nshachinjiwa baharini aseeπ€£π€£π€£π€£Dah ! Rahsully kimya sana , jamaa wameamua kutupigia chini nini maana hii sio data base tena aisee tunaenda miaka miwili sasa hivi ,maana ni mwaka na miezi minne sasa toka tumepiga ile interview
Hapo mpaka 28/11 baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa.PSRS wanazid kutoa post za kazi ila kutuita interview naona wamegoma.
Nishaota kipara kabisa , mtaani siku hizi vitoto vishenzi na mama zao wananiita " yule mbaba dalali ana midevu flani hivi kama Osama anakaa nyumba ile "Kimbukiko tuongeze received TBC,hali ishakua teteππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nishaota kipara kabisa , mtaani siku hizi wananiita " yule mbaba dalali ana midevu flani hivi kama Osama anakaa nyumba ile "
π€£π€£π€£π€£π€£
Vipi zile za Temesa na TAA interview mnapiga lini ?Kimbukiko tuongeze received TBC,hali ishakua teteππ
Si wamegoma kutuita Interview,labda mwakaniVipi zile za Temesa na TAA interview mnapiga lini ?
Au mpaka mwakani ?
HatariSi wamegoma kutuita Interview,labda mwakani
Omba kazi ya examination officer Electrical Engineer Kwa NECTASi wamegoma kutuita Interview,labda mwakani
Na wamekua washenzi siku iz mpaka ulipe madeni yao ndio warenew hiko chet yaan tabu tupu,tunapitia pagumu Acha tu,mtu huna ajira na bado tunalipishwa pesaOmba kazi ya examination officer Electrical Engineer Kwa NECTA
Kuna tangazo nimeliona
Aisee mi mpaka cheti ya ERB kisha expire kabisa siwezi omba kazi yoyote mpaka nirenew na nina bonge la deni la fine na michango ya ERB ,sijui hata nalipa vipi .
Nishaota kipara kabisa , mtaani siku hizi vitoto vishenzi na mama zao wananiita " yule mbaba dalali ana midevu flani hivi kama Osama anakaa nyumba ile "
π€£π€£π€£π€£π€£
Hivi hizi ajira za muhimbili zikoje?je hazipitii utumishi?salary scale yao inazingatia scale ya serikali au ikoje?Wale wa afya mukaongeze received muhimbili uko wametoa ajira