Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?


Hii safari yako inamafunzo mengi sana ndani yako, ongera tena na tenaa.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Mshua anachekelea tu, meno yote nje leo namwomba nauli anakubali bila kupinga, anauliza sh ngapi namwambia mabei ya kwenda wala hata hawaziiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Oyaaah
Washua wanafurahi sana tukiwa na Financial freedom asee
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Mshua anachekelea tu, meno yote nje leo namwomba nauli anakubali bila kupinga, anauliza sh ngapi namwambia mabei ya kwenda wala hata hawaziiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Oyaaah

πŸ˜‚πŸ˜‚ hapo anaukaki wa kula swala wa kuchoma wateke wateke kila week.
 
[emoji23][emoji23]Mshua anachekelea tu, meno yote nje leo namwomba nauli anakubali bila kupinga, anauliza sh ngapi namwambia mabei ya kwenda wala hata hawaziii[emoji23][emoji23][emoji23]Oyaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Basi ishi naye hivyo, kashajihakikishia kutunzwa uzeeni
 
Jumla umefanya mbili tu boss?
 
Jumla umefanya mbili tu boss?
Yeah mbili tu na kuna jamaa zangu wanne wao walifanya moja na wakapita lakini wao walichokuwa wamenizidi mimi ni kwamba wao bado walikua wapo chuo kwahyo ilikua rahisi kwao kupata material na mimi kipindi hicho nipo kitaa nakumbuka kipindi hicho nilihangaika sana kuyapata maana chuo huwa kuna tabia mbovu ya kutupa material hasa ukimaliza semester nadhani nyote humu ni mashahidi kwenye hili, kwahiyo ukiwa na material na ukapiga msuli mapema yaani ukaanza kujiandaa mapema( ukijiandaa mapema faida yake kubwa ni kuondoa presha) kutoboa ni kugusa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…