El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
Mbaga Jr anaweza akazimiaMara gafla database inatoka ya TBC kwenye mkeka
🤣🤣 unataka kujua mpo wangapiKwahy hawataki kutoa pdf ya majina ya interview 😎
Mwaga madini leo kaka ata usiku ukitliaTujiandae na interview...kuanzia tarehe 1...
IT best wishes...
Kuna hint moja ya practical..nikitulia j3 nitawapa
Ndio mkuu, nijue washindani wangu wako wangapi🤣🤣 unataka kujua mpo wangapi
Niwepo tuu kwenye listMara gafla database inatoka ya TBC kwenye mkeka
Kafanye interview, huwa tunasisitizana hapa kila mara kuwa hata kama nafasi ni moja usiache kwenda kufanya Interview.Mwezi wa tano hv, TBC walitangaza nafasi 1 ya assistant producer na leo naona tumeitwa interview, ila majina ya kwenye pdf bado hayajatoka, nawaza sana kama tumeitwa wengi itakuwaje halafu nafasi n moja tuu [emoji24] yn mpaka nahisi kukata tamaa.
Usaili n trh 10 Novemba [emoji24]
Kama hawajakushortlist kwa tatizo unaloona sio kosa, wasiliana nao watarekebisha na watakuita kwenye manina ya nyongeza.Kuna aliyewahi kutokuwa-shortlisted na kuwasiliana na utumishi kwa changamoto yoyote ile kisha akawekwa kwenye majina ya nyongeza. Naomba msaada wakuu. Je alitumia means gani kuwasiliana nao na walitatuaje tatizo lake. Mwifwa na yeyote mwenye kujua.
kaangalie washatoaNiwepo tuu kwenye list
Ni kweli hujacertify? Kama kweli hapo hauna namna tena kwenye hiyo nafasi. Hata useme ukiweke sasahivi kilicho kuwa certified mfumo utaonesha ni lini hicho cheti kiliwekwa na watakutolea nje.Not shortlisted kwa sababu sija-certify cheti cha kuzaliwa
Kwani inafanyika mbali na ulipo?Mwezi wa tano hv, TBC walitangaza nafasi 1 ya assistant producer na leo naona tumeitwa interview, ila majina ya kwenye pdf bado hayajatoka, nawaza sana kama tumeitwa wengi itakuwaje halafu nafasi n moja tuu 😭 yn mpaka nahisi kukata tamaa.
Usaili n trh 10 Novemba 😭
Yaani cheza na job description,,,maelezo yoote yadondoke kwenye nafasi uliyoombaNna swali kidogo hv mfano unaexperience au field role tofauti na uliyoomba kwny usaili pale kweny tell us abt urself unaweza ongelea field au experience tofaut na nafas unayoomba
Unaweza kuongelea ila kama huwezi align experience na role unayoomba haina haja kuforce. Mimi experience yangu ipo kwenye fintech na sales na nilishika positions za Team Leader na Manager.Nna swali kidogo hv mfano unaexperience au field role tofauti na uliyoomba kwny usaili pale kweny tell us abt urself unaweza ongelea field au experience tofaut na nafas unayoomba
Mkuu Mungu akubariki sana tena sana.. yaani umepata job but Bado Wana hujatutupa unaendelea kutupa moyo. Ubarikiwe sana. Baki na moyo huwo huwoKafanye interview, huwa tunasisitizana hapa kila mara kuwa hata kama nafasi ni moja usiache kwenda kufanya Interview.
Niko Dar afu n safari ya kwenda Dodoma, sasa ht cjui naenda kulala wap, last time nilienda Kwa mshikaji wangu ambaye kwa sasa hayupo tena dom 😭Kwani inafanyika mbali na ulipo?
kaangalie washatoa
Raia tupo 28 😭Kafanye interview, huwa tunasisitizana hapa kila mara kuwa hata kama nafasi ni moja usiache kwenda kufanya Interview.
Hii written au oral?Niko Dar afu n safari ya kwenda Dodoma, sasa ht cjui naenda kulala wap, last time nilienda Kwa mshikaji wangu ambaye kwa sasa hayupo tena dom 😭
Kaka gest za 5000 mbona zipo dodoma au ten kabisa?Raia tupo 28 😭
Dah ht bado cjui nifanyeje 😭
Practical Na oralHii written au oral?