😂😂😂Mwende mkatengeneze mabomu huko muwàlipue wafanyakazi wa utumishi wakome tabia ya kutotoa mikeka
hiyo interview ni ya trc mambo ya telecom sio electricalJiandae na practical za Electrical machines kudadadeki ,madude ya blocked rotor - free rotor nk
Machine 1 and 2 na electronics modules na practicals zake
Halafu hayo mazaga yanasahaulika kishenzi ,mi Sikumbuki hata
Sasa na hiyo practical maanina , na zile practical za Electrical si za mchezo mchezo kuna watu watakula zero hapo.
Hizi kazi mimi sikuomba .
Umeitwa Temesa au TAA ?
Kila la heri
alafu maswali si multiple choice huwezi kupata zero usijali..🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa nimewaza hapo tumechanganyika na watu wa telecom,hyo interview naona itabase na telecom tu asee mambo mukidee,,Temesa na TAA bado hawajaitaa
😂😂😂tena multiple choice ndio sio poa kabisaa mchezo wa kufanya ana anado hujui lolote kichwan weeealafu maswali si multiple choice huwezi kupata zero usijali..
bora hio mtu unajaza ukikutana na ya kuandika mkono huwa unagoma unashangaa tu pens down😂😂😂tena multiple choice ndio sio poa kabisaa mchezo wa kufanya ana anado hujui lolote kichwan weee
Hahahahah hatar sana Engineerbora hio mtu unajaza ukikutana na ya kuandika mkono huwa unagoma unashangaa tu pens down
hatari zile dk sjui huwa zinaishaje.ila multiple choice ukiona haujui kitu unaweza hata ukajaza A zote haukosi hata 5%Hahahahah hatar sana Engineer
Wewe umeitwa taasisi gani ? ,TRC ?🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa nimewaza hapo tumechanganyika na watu wa telecom,hyo interview naona itabase na telecom tu asee mambo mukidee,,Temesa na TAA bado hawajaitaa
kimbukiko huendi kwenye mpambano au hutaki kazi trc 🤣 🤣Wewe umeitwa taasisi gani ? ,TRC ?
Yah !🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa nimewaza hapo tumechanganyika na watu wa telecom,hyo interview naona itabase na telecom tu asee mambo mukidee,,Temesa na TAA bado hawajaitaa
Nishaota kipara na kitambi , navaa mashati kama ya Brother k sasa hivi ,kimbukiko huendi kwenye mpambano au hutaki kazi trc 🤣 🤣
yaani zile za temesa na TAA wangechukua database ingekua magoli kweli.sasa we utaona watu wataoitwa hizo interview asilimia 90 majina yatakua yamejirudiaWewe umeitwa taasisi gani ? ,TRC ?
tuko wengi mwanangu usijiskie mnyonge 🤣 🤣Nishaota kipara na kitambi , navaa mashati kama ya Brother k sasa hivi ,
Panelists Tu wakiniona watatamani wakimbie room 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hizi kazi za TRC sikuomba na deni lenyewe la ERB sijalipa , hata kama ningeomba tu wasinge nishort list
kuna pepa ya instrumentation nilifanyaga kiwanda x ile pepa kidogo nizimieYah !
Na hapo ndio huwa mtihani , watu sisi wa course Electrical & electronics Engineering , huwa tunakuwa considered kwenye kazi hata za Telecommunications Ila kwenye hizo interview wakibase Sana kwenye issues za signals au broadcasting deep , lazima watu wengi wa Electrical waliwe vichwa .
Watu wa Telecommunications pia kuna kazi ajira za Electrical Engineers huwa wanakuwa prefered na kuitwa kwenye interviews mfano hii migodi mikubwa wanaweza wakatangaza kazi ya Instrumentation Engineer na Hadi watu WA Telecommunications wanaingia kwenye interview Ila kipondo wanachokutana nacho huko kwenye interviews sasa ni kilio na kusaga meno ,maana wanakuwa hawapo deep kwenye baadhi ya issues nyingi tofauti na mtu ambaye alichukua major ya Electrical and electronics engineering.
Nafsi ishaanza kuwakatia tamaa hawa jamaa wa utumishi aiseekimbukiko huendi kwenye mpambano au hutaki kazi trc 🤣 🤣
Hahaaa mambo ya PID ,mixer feedback loop , scada , plckuna pepa ya instrumentation nilifanyaga kiwanda x ile pepa kidogo nizimie
hakuna jipya aisee labda makada mengine ukoNafsi ishaanza kuwakatia tamaa hawa jamaa wa utumishi aisee
mwanangu pepa ilikua inakuandika program za plc na macalculation kama yote alafu hamna calculator halafu simu tumekusanya.yaani ile pepa hata mkiigilizana lazima mfeli tu 🤣 🤣Hahaaa mambo ya PID ,mixer feedback loop , scada , plc
Maanina kama hujanywa hayo madude deep lazima uone chenga
Kunywa signals na electronics , nadhani maswali mengi yatacheza humoHello
Telecom Engineers nko wapi wapendwa wangu😅mje basi dada yenu naomba madesa tulambe asali wote TRC