Hahaaaa ni mwendo wa Re advertised Tumwanangu pepa ilikua inakuandika program za plc na macalculation kama yote alafu hamna calculator halafu simu tumekusanya.yaani ile pepa hata mkiigilizana lazima mfeli tu 🤣 🤣
Dah ,ni balaa aisee ,yaani mpaka mzuka unakata kabisahakuna jipya aisee labda makada mengine uko
Ladder logic zile au sio ?mwanangu pepa ilikua inakuandika program za plc na macalculation kama yote alafu hamna calculator halafu simu tumekusanya.yaani ile pepa hata mkiigilizana lazima mfeli tu 🤣 🤣
acha ndugu yangu pepa limejaa yale maboolean expression. sema tu waliturudishia nauliHahaaaa ni mwendo wa Re advertised Tu
ilikua wanakwambia unayoweza wewe aisee ile pepa sidhani kama kuna mtu alivuka 5Ladder logic zile au sio ?
Hatari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwamba majamaa yawaambia "fanya unaloweza "ilikua wanakwambia unayoweza wewe aisee ile pepa sidhani kama kuna mtu alivuka 5
Kichwa lazima kiwake moto nakwambia , na jinsi watu tunavyokaa mitaani hivi vitu huwa vinapotea kichwani kiasi kwamba ukija kujiandaa unahisi kichwa kizito balaaacha ndugu yangu pepa limejaa yale maboolean expression. sema tu waliturudishia nauli
ile pepa walikutana na vituko aisee watu tulidiscuss kabisa kwenye chumba cha mtihani ila hakuna hata mmoja aliyepita 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwamba majamaa yawaambia "fanya unaloweza "
Ila kuna majitu yanadharau ,halafu kucheki kila swali jiwe .
interview za kufungia mwaka hizi jaman mkajitahidi mwakani tuanze kupeana hongera
Tunaisuburi hiiTujiandae na interview...kuanzia tarehe 1...
IT best wishes...
Kuna hint moja ya practical..nikitulia j3 nitawapa
Kuna hii hali ukiwa unasubiri kuitwa interview unakua na ujasiri kinoma kiasi kwamba hadi unawamind PSRS kwanini wanachelewesha, na hii inatokana na situation ngumu ya kitaa anayokua nayo jobless ya kutafuta wa kumwangushia lawama😂😂. Ikitokea mtu umeitwa confidence yote inapotea kabisa unaanza kuwaza jinsi utakavyo kandwa.
Sasa ndugu yangu hii practical si litakua bomu hili,hata nikiwaza sijui ni practical ya aina gani asee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwamba majamaa yawaambia "fanya unaloweza "
Ila kuna majitu yanadharau ,halafu kucheki kila swali jiwe .
🤣🤣🤣🤣nacheka kama mazur walahNishaota kipara na kitambi , navaa mashati kama ya Brother k sasa hivi ,
Panelists Tu wakiniona watatamani wakimbie room 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hizi kazi za TRC sikuomba na deni lenyewe la ERB sijalipa , hata kama ningeomba tu wasinge nishort list
🤣🤣🤣Mtapelekwa bwawa la mwalimu nyerere 😂😂😂.
🤣🤣🤣dah wacha tukomaehatari zile dk sjui huwa zinaishaje.ila multiple choice ukiona haujui kitu unaweza hata ukajaza A zote haukosi hata 5%
Watu wa utumishi lazima wawepo, kufanyika eneo la ofisi n location tuu kama location zingineNaomba kuuliza, iv tahasis ambazo oral zinafanyoka ofsn kwao na watu wa utumishi uwa.wanakuepo? Na kwann oral wafanyie ofsn kwao na sio ofs za utumishi?