Zafrain sag
JF-Expert Member
- Sep 14, 2019
- 238
- 354
Day 4:Kigoma,Mbeya,IringaDay 1 Dar na Moro
Day 2 Dodoma na Tanga
Day 3 Pwani na Arusha
Day 4 Iringa na Mbeya
Day 5 (kesho) ?
Wazee wanaosubiria asali ya Tamisemi tucheze na mikeka kidogo
Hii chuma ya mwisho wa reli sikuionaDay 4:Kigoma,Mbeya,Iringa
Songwe,katavi na maraDay 1 Dar na Moro
Day 2 Dodoma na Tanga
Day 3 Pwani na Arusha
Day 4 Kigoma,Iringa na Mbeya
Day 5 (kesho) ?
Wazee wanaosubiria asali ya Tamisemi tucheze na mikeka kidogo
Hivi mishahara ya tamisemi ni sawa na wizara au kunakuzidiana? Nimeona MD mmoja uko insta. Anadai hawezi kwenda kuripoti kazini kwasababu mishahara wizara kamzidi tamisemi parefu. Na kazi tamisemi wanapiga sana vile vile malupulupu kama extra duty tamisemi hayapo, je ni kweli??Day 1 Dar na Moro
Day 2 Dodoma na Tanga
Day 3 Pwani na Arusha
Day 4 Kigoma,Iringa na Mbeya
Day 5 (kesho) ?
Wazee wanaosubiria asali ya Tamisemi tucheze na mikeka kidogo
Kwa uhakika zaidi wacha tusubiri wajuzi waje watoe ufafanuzi, ila niliwahi kuona mahala wanasema ngazi za mishahara ni zilezile ila tofauti inakuja kuwa kwenye mazagazaga ya nje na mshahara kama hizo extraduty kote nafikiri zipo ila sasa utofauti mkubwa ni kulipwa kwa wakati, fursa za hapa na pale kama kusimamia mitihani ya vyuo vya afya, na vitu kama hivyoHivi mishahara ya tamisemi ni sawa na wizara au kunakuzidiana? Nimeona MD mmoja uko insta. Anadai hawezi kwenda kuripoti kazini kwasababu mishahara wizara kamzidi tamisemi parefu. Na kazi tamisemi wanapiga sana vile vile malupulupu kama extra duty tamisemi hayapo, je ni kweli??
Hivi mishahara ya tamisemi ni sawa na wizara au kunakuzidiana? Nimeona MD mmoja uko insta. Anadai hawezi kwenda kuripoti kazini kwasababu mishahara wizara kamzidi tamisemi parefu. Na kazi tamisemi wanapiga sana vile vile malupulupu kama extra duty tamisemi hayapo, je ni kweli??
Hongera Sana mkuu kila la kheri katika majukumu yako mapya ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuuNdugu zanguni! Wakati watu wanatoa shuhuda humu nilikua nahisi haiwezekani, safari ilikua ndefu sana written za kutosha na oral mbili plus kukosa oral! Hatimaye wakati wa Mungu wakati sahihi umenifikia! Database imeniona nilifanya oral ya mwsho february! Na post ilihitaji watu wawili tu tukaitwa 15! Naomba msiache kujaribu na msikate tamaa wapambanaji! Ikawe heri kwenu pia siku moja ndugu zangu!
Ukweli mtupuHivi mishahara ya tamisemi ni sawa na wizara au kunakuzidiana? Nimeona MD mmoja uko insta. Anadai hawezi kwenda kuripoti kazini kwasababu mishahara wizara kamzidi tamisemi parefu. Na kazi tamisemi wanapiga sana vile vile malupulupu kama extra duty tamisemi hayapo, je ni kweli??
Sio kwa Watoto wao ni kwa watoto wa Maskini naona hiyo kauli
Umaskini kwenye nini,kwani kuna maisha tofauti hapa? Au umaskini ni kwa mtu mwenyewe na sio hizo level mbili tofauti?Ukweli mtupu
Tamisenga umasikinini
Nimekupata hapa nadhani kama kuna kuzidiana malupulupu ni kwa baadhi ya kada, wajuu ndio wanashiba zaidi , kama elimu yako ya sungura diploma au certificate kafurahie tamisemi uko utakuwa ata incharge na utahudhuria semina kadha wa kadha, na kama extra duty kote zipo basi hakuna utofauti zaidi labda kuna wa kuishi kijijini na mjiniKwa uhakika zaidi wacha tusubiri wajuzi waje watoe ufafanuzi, ila niliwahi kuona mahala wanasema ngazi za mishahara ni zilezile ila tofauti inakuja kuwa kwenye mazagazaga ya nje na mshahara kama hizo extraduty kote nafikiri zipo ila sasa utofauti mkubwa ni kulipwa kwa wakati, fursa za hapa na pale kama kusimamia mitihani ya vyuo vya afya, na vitu kama hivyo
Halmashauri DcπMishahara ya watumishi wa afya walioko serikali kuu (wizara ya afya) na serikali za mitaa (TAMISEMI) zinalingana.
Dah safi sana hii kujijua upo database au laah! Ngoja tusubiri.
Haya si mauaji ya alaiki sasa haya hivi alietunga hii sheria alikua anaugua fungus za ubongo au?
Mbona Theard hii iliweka wazi na shuhuda ni nyingi kabisa kupitia a/c....Dah safi sana hii kujijua upo database au laah! Ngoja tusubiri.
Halafu usiache kuangalia majina yote kwa kila PDFDay 1 Dar na Moro
Day 2 Dodoma na Tanga
Day 3 Pwani na Arusha
Day 4 Kigoma,Iringa na Mbeya
Day 5 (kesho) ?
Wazee wanaosubiria asali ya Tamisemi tucheze na mikeka kidogo