El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
dahh watu wanabahati aisee yaani kugusa tu tayar wanapata na kaziWengine ndio wanaenda kuifahamu Migiro kwa mara ya kwanza.
Hahaaa Suprise fulani hivi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dahh watu wanabahati aisee yaani kugusa tu tayar wanapata na kaziWengine ndio wanaenda kuifahamu Migiro kwa mara ya kwanza.
Hahaaa Suprise fulani hivi..
Mchawi course uliyosoma hope utapata endelea kufuatiliadahh watu wanabahati aisee yaani kugusa tu tayar wanapata na kazi
Nenda kwenye website yao kuna sehemu ya kufungua akaunti ambayo ukimaliza utaona details zote za deni lako.hivi jamani mtu ukitaka kujua deni la loan board unadaiwa sh ngapi unafanyaje
ok asante kakaNenda kwenye website yao kuna sehemu ya kufungua akaunti ambayo ukimaliza utaona details zote za deni lako.
Kuna mchanganuo wa jinsi walivyokuwa wanakulipa hizo hela kila Semister, so utaweza kupiga total na kujua unadaiwa kiasi gani
Ya kazi gani sasa namba yako Mkuu? Hahah! Kuafford?!!Una namba yangu mzee? Naona unataka kunizawadia airtime. Ila sina uhakika kama unauwezo wa ku afford.
Hongera sana.Ndugu zanguni! Wakati watu wanatoa shuhuda humu nilikua nahisi haiwezekani, safari ilikua ndefu sana written za kutosha na oral mbili plus kukosa oral! Hatimaye wakati wa Mungu wakati sahihi umenifikia! Database imeniona nilifanya oral ya mwsho february! Na post ilihitaji watu wawili tu tukaitwa 15! Naomba msiache kujaribu na msikate tamaa wapambanaji! Ikawe heri kwenu pia siku moja ndugu zangu!
Asante sana aisee!!!Hongera sana.
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapyaNdugu zanguni! Wakati watu wanatoa shuhuda humu nilikua nahisi haiwezekani, safari ilikua ndefu sana written za kutosha na oral mbili plus kukosa oral! Hatimaye wakati wa Mungu wakati sahihi umenifikia! Database imeniona nilifanya oral ya mwsho february! Na post ilihitaji watu wawili tu tukaitwa 15! Naomba msiache kujaribu na msikate tamaa wapambanaji! Ikawe heri kwenu pia siku moja ndugu zangu!
Yn kwenye post ya kazi walihitajika wawili ila pdf la kuitwa kazini likabeba watu 15?Ndugu zanguni! Wakati watu wanatoa shuhuda humu nilikua nahisi haiwezekani, safari ilikua ndefu sana written za kutosha na oral mbili plus kukosa oral! Hatimaye wakati wa Mungu wakati sahihi umenifikia! Database imeniona nilifanya oral ya mwsho february! Na post ilihitaji watu wawili tu tukaitwa 15! Naomba msiache kujaribu na msikate tamaa wapambanaji! Ikawe heri kwenu pia siku moja ndugu zangu!
Hongera sanaNdugu zanguni! Wakati watu wanatoa shuhuda humu nilikua nahisi haiwezekani, safari ilikua ndefu sana written za kutosha na oral mbili plus kukosa oral! Hatimaye wakati wa Mungu wakati sahihi umenifikia! Database imeniona nilifanya oral ya mwsho february! Na post ilihitaji watu wawili tu tukaitwa 15! Naomba msiache kujaribu na msikate tamaa wapambanaji! Ikawe heri kwenu pia siku moja ndugu zangu!
Hongera mkuu.Ndugu zanguni! Wakati watu wanatoa shuhuda humu nilikua nahisi haiwezekani, safari ilikua ndefu sana written za kutosha na oral mbili plus kukosa oral! Hatimaye wakati wa Mungu wakati sahihi umenifikia! Database imeniona nilifanya oral ya mwsho february! Na post ilihitaji watu wawili tu tukaitwa 15! Naomba msiache kujaribu na msikate tamaa wapambanaji! Ikawe heri kwenu pia siku moja ndugu zangu!
Hongera sana Familia..Ndugu zanguni! Wakati watu wanatoa shuhuda humu nilikua nahisi haiwezekani, safari ilikua ndefu sana written za kutosha na oral mbili plus kukosa oral! Hatimaye wakati wa Mungu wakati sahihi umenifikia! Database imeniona nilifanya oral ya mwsho february! Na post ilihitaji watu wawili tu tukaitwa 15! Naomba msiache kujaribu na msikate tamaa wapambanaji! Ikawe heri kwenu pia siku moja ndugu zangu!
Hongera sanaa...Ukawe Mtumishi mwema kiongoziNdugu zanguni! Wakati watu wanatoa shuhuda humu nilikua nahisi haiwezekani, safari ilikua ndefu sana written za kutosha na oral mbili plus kukosa oral! Hatimaye wakati wa Mungu wakati sahihi umenifikia! Database imeniona nilifanya oral ya mwsho february! Na post ilihitaji watu wawili tu tukaitwa 15! Naomba msiache kujaribu na msikate tamaa wapambanaji! Ikawe heri kwenu pia siku moja ndugu zangu!
Asante sana kaka mwifwa na kwakututia moyo daima!Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
Hapana walihitajika wawili ila oral tuliitwa 15Yn kwenye post ya kazi walihitajika wawili ila pdf la kuitwa kazini likabeba watu 15?
Asante sana kakaHongera sana
Amina sana mdau tuko pamojaHongera sanaa...Ukawe Mtumishi mwema kiongozi
Pamoja sana kaka senior!Hongera sana Familia..
kila lakheri kaka haikua rahisiNdugu zanguni! Wakati watu wanatoa shuhuda humu nilikua nahisi haiwezekani, safari ilikua ndefu sana written za kutosha na oral mbili plus kukosa oral! Hatimaye wakati wa Mungu wakati sahihi umenifikia! Database imeniona nilifanya oral ya mwsho february! Na post ilihitaji watu wawili tu tukaitwa 15! Naomba msiache kujaribu na msikate tamaa wapambanaji! Ikawe heri kwenu pia siku moja ndugu zangu!