Heaven kama heaven
JF-Expert Member
- Nov 27, 2021
- 453
- 788
Wana good time kuliko maprofeseli!!Necta marupurupu ya kutunga mitihani na kusimamia yapo ya kutosha nauliza kuhusu vyuo vya kati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana good time kuliko maprofeseli!!Necta marupurupu ya kutunga mitihani na kusimamia yapo ya kutosha nauliza kuhusu vyuo vya kati
Kupanga ni kuchagua.Ila usijifunge sana just lower your pride ili usonge mbele Vema kujiuliza huo mgomo ulio nao una faida gani? Focus kwenye malengo yako usijilinganishe na watu wengine.
Safi sana karibu katika utumishi wa umma, usimsahau Mungu na jamii hii ya uzi huu ili kuwapa moyo.Daaaah wazeeee🤗🤗Yaani sijui nimshukuru vipi mwenyezi Mungu walaah🙄 eeeh bwana eeh buyu la Asali limenidondokea(TANAPA)
Mwezi wa tatu yule jamaa aliyepata ajira hospitali ya Benjamin Mkapa kama Electrical Engineer .Kimbukiko mara ya mwisho kuona pdf lenye kada yetu ilikua mwezi wa ngap
miezi nane duhMwezi wa tatu yule jamaa aliyepata ajira hospitali ya Benjamin Mkapa kama Electrical Engineer .
Jamaa chenga saba hawa
Ndiomiezi nane duh
Watu hawahitaji kupewa moyo, wanatakiwa kupewa nafasi za ajira.Safi sana karibu katika utumishi wa umma, usimsahau Mungu na jamii hii ya uzi huu ili kuwapa moyo.
Nakutakia mafanikio mema.
kwahiyo we hutaki moyoWatu hawahitaji kupewa moyo, wanatakiwa kupewa nafasi za ajira.
Sasa ukinipa moyo, moyo utanisaidia kulipia bill ya umeme ?kwahiyo we hutaki moyo
hamna unapunguza maumivuSasa ukinipa moyo, moyo utanisaidia kulipia bill ya umeme ?
Hivi hizo written za kufanyia online wanaweka na maswali ya kujieleza au ni multiple choice peke yake? Na je ni taasisi zote zinatumia huo mfumo wa kufanya interview kidigitali?Pia usifanye kitu cha tofauti mbali na maelekezo uliyo pewa kama vile kufungua dashboard mpya au kuminimize dashboard maana utakuwa umetoka njee ya utaratibu ivyo inaweza pelekea kushindwa kumaliza maswali Yako maana mtiani utakuwa umejikusanya automatic
Ndio maswali yanakuwa multiple choice, sio kila taasisi wanatumia huu mfumo inategemeana kwa mfano kwa upande wa saili za malecture huu mfumo autumikiHivi hizo written za kufanyia online wanaweka na maswali ya kujieleza au ni multiple choice peke yake? Na je ni taasisi zote zinatumia huo mfumo wa kufanya interview kidigitali?
Sasa kwa mawazo yako unahisi mtumishi wa kawaida anaweza kukupa ajira?Watu hawahitaji kupewa moyo, wanatakiwa kupewa nafasi za ajira.
Naomba tafsiri ya mtu anayeitwa mtumishi wa kawaida.Sasa kwa mawazo yako unahisi mtumishi wa kawaida anaweza kukupa ajira?
Usiwe desperate kiasi cha kuuzima ubongo wako,wapo watu wanafarijika kwa kupewa moyo wa kuendelea kupambania kombe.
Wewe ni wa kukupuuza nitakupa airtime ya bure.Naomba tafsiri ya mtu anayeitwa mtumishi wa kawaida.
Una namba yangu mzee? Naona unataka kunizawadia airtime. Ila sina uhakika kama unauwezo wa ku afford.Wewe ni wa kukupuuza nitakupa airtime ya bure.
Kwahiyo hujui levels za servants kuwa kuna Juniors,Seniors and Executive.
Kwa akili yako unaweza kwenda kumuomba Junior akupe ajira? Grow up.
Wengine ndio wanaenda kuifahamu Migiro kwa mara ya kwanza.sipati picha idadi ya watu pale migiro