Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mashirika na taasisi ambazo mwalimu anaweza kupangiwa tofauti na LGA ni yapi
Hivi mashirika na taasisi ambazo mwalimu anaweza kupangiwa tofauti na LGA ni yapi
Kwahiyo unaweza ukawa umeomba shule ya msingi isimikinyi ukajikuta umepangwa NectaBAKITA, TEC, NECTA, na vyuo vinavyotoa shahada za ualimu kama TAs.
Hapo nahisi mpaka aombe kwenye hiyo taasisi na asailiwe sio kupelekwa direct kutoka kwenye database la LGAsMwalimu inategemea ulisomea nini, mfano kuna wale walimu waliosomea special needs wanakuaga na chances nyingi nyingi kidogo.
Kuna mmoja namjua anafanya kazi muimbili ila proffesion yake ni mwalimu wa special need.
Kimbukiko mara ya mwisho kuona pdf lenye kada yetu ilikua mwezi wa ngapi
Kuna kozi zetu huu mwaka unaisha sijawahi ona Tangazo la kazi walitangaza mwaka Jana nafasi yenyewe moja kama hizi kozi hazitambuliki utumishi ni kheri kuzifuta tu ni Bora mtu ukose kazi ukiwa unaona zinatangazwa kuliko huoni ata dalili nilisoma hii kozi nilijua unique tangu nihitimu miaka miwili sasa nafasi ata 2 tu sijawahi ziona utumishi ngoja tupambanie tu upande wa piliKimbukiko mara ya mwisho kuona pdf lenye kada yetu ilikua mwezi wa ngap
shida sana aiseeKuna kozi zetu huu mwaka unaisha sijawahi ona Tangazo la kazi walitangaza mwaka Jana nafasi yenyewe moja kama hizi kozi hazitambuliki utumishi ni kheri kuzifuta tu ni Bora mtu ukose kazi ukiwa unaona zinatangazwa kuliko huoni ata dalili nilisoma hii kozi nilijua unique tangu nihitimu miaka miwili sasa nafasi ata 2 tu sijawahi ziona utumishi ngoja tupambanie tu upande wa pili
Kuna watu zari kama hili limewaangukia.Kwahiyo unaweza ukawa umeomba shule ya msingi isimikinyi ukajikuta umepangwa Necta
Taasisi za Elimu kama Vyuo vya kati, NECTA, Wizara ya Elimu n.kHivi mashirika na taasisi ambazo mwalimu anaweza kupangiwa tofauti na LGA ni yapi
Mwajiri ana jukumu la kutrain wafanyakazi wake hata kama apate wenye competent. So hapo ataenda kupush hilo zigoKuna watu zari kama hili limewaangukia.
Ingawa sio approach nzuri sana na inawakosesha waajiri potential and competent employees.
Nimeona kwa madoctorKuna watu zari kama hili limewaangukia.
Ingawa sio approach nzuri sana na inawakosesha waajiri potential and competent employees.
Hivi vyuo vya kati vina marupurupu kweli?Taasisi za Elimu kama Vyuo vya kati, NECTA, Wizara ya Elimu n.k
Ni kozi gani chiefKuna kozi zetu huu mwaka unaisha sijawahi ona Tangazo la kazi walitangaza mwaka Jana nafasi yenyewe moja kama hizi kozi hazitambuliki utumishi ni kheri kuzifuta tu ni Bora mtu ukose kazi ukiwa unaona zinatangazwa kuliko huoni ata dalili nilisoma hii kozi nilijua unique tangu nihitimu miaka miwili sasa nafasi ata 2 tu sijawahi ziona utumishi ngoja tupambanie tu upande wa pili
rhetoric question ni swali la aina gan naomba kueleweshwaSijui wenzangu ila mimi hapa naona rhetoric qns. Unnecessarily
Hyo ni kada gan maana wengine tuna za mwez wa sita hamn changesHaya maombi nahisi yamekataliwa ila wamenichinja juu kwa juu naona status haibadiliki toka mwezi wa 7