Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah kama hivyo kulala lazima. Lodge ni 15K ila kaka kama katika cycle yako hamna mtu wa kukuazima 15K hiyo cycle vunja.
Day ya kwanza fika alfajiri kisha siku ya pili ya practical lala lodge. Ishu ni nauli au lodge?
😂😂😂maisha haya matamu sanaAtakuja mwingine, alikuwepo wizy akasepa, uzi ukaendelea kubamba ingawa ukawa na sura taofauti
Wanazidi kutoa kila mkoaTAMISEMI kashaanza kunyakua wake tayari, mkiambiwa msijifiche kwenye kichaka cha kujifariji kwa kuukataa ukweli
Hivi siku hizi gari za dodoma kama shabiby huwa zinasafiri usiku kumbe mkuu..!?Anyway, mimi nilifanya hivi.
Nilitoka Dar saa tano na Shabiby nikafika saa 12 alfajiri nikaunganisha hadi ukumbi wa Asha Rose.
Nikamaliza saa tano asubuhi nikarudi kupanda gari la Dar.
Mbona mkeka wa TAA na Temesa bado hauja toka mkuu ..!?Jiandae na practical za Electrical machines kudadadeki ,madude ya blocked rotor - free rotor nk
Machine 1 and 2 na electronics modules na practicals zake
Halafu hayo mazaga yanasahaulika kishenzi ,mi Sikumbuki hata
Sasa na hiyo practical maanina , na zile practical za Electrical si za mchezo mchezo kuna watu watakula zero hapo.
Hizi kazi mimi sikuomba .
Umeitwa Temesa au TAA ?
Kila la heri
Najua wanaodrive hawana muda wa kushika simu kwa sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maisha haya matamu sana
Unyama sana siku hiziHivi siku hizi gari za dodoma kama shabiby huwa zinasafiri usiku kumbe mkuu..!?
Hivi siku hizi gari za dodoma kama shabiby huwa zinasafiri usiku kumbe mkuu..!?
Hivi siku hizi gari za dodoma kama shabiby huwa zinasafiri usiku kumbe mkuu..!?
Hongera.Kuna nurses diploma mwingine ulitoka jana juzi nadhani wa 34 hivi wapo pale
Acha makasiriko kijana. Nchi ni yetu sote.Takataka sana hii taasisi , ina maana nchi hii waalimu na watu wa afya ndio wana maana sana kuliko wengine ?
Yaani mikeka ya hawa watu ni faster ,njoo fani nyingine sasa
Rubbish kabisa
Subiri ila ukiwa unaendelea na mishe zingine, akili ya kuitwa kazini iweke pembeni kwanza.Mimi kuna kitu kimenitatiza kidogo. Jana nimeona pdf ya CO kwa Dar es Salaam, nikirejea tangazo lao la July ni kuwa walikuwa wanatakiwa 42 kwa mkoa wa Dar es Salaam, unfortunately pdf imetoka na majina 62 na baada ya kuyapitia nimegundua kwa waliofanya Oral 13/09 only 14 ndio wameitwa. Maanake ni kuwa 48 wamewatoa kwenye database? So, hao wengine waendelee kusubiria au ndio ishatoka hivyo.
Duuuh..!, hii makini sana mkuu kwa sisi jobless na placements za utumishi wame tuokoa sana maana Biashara za kugharamia room za gest ni mitihani usio na lazima ule.😀
Ni kuwa tu mpole. Sure.Subiri ila ukiwa unaendelea na mishe zingine, akili ya kuitwa kazini iweke pembeni kwanza.
Utashangaa baadae unaitwa MNH au kwingineko huko then itakuwa shangwe na vigelegele
BakitaHivi mashirika na taasisi ambazo mwalimu anaweza kupangiwa tofauti na LGA ni yapi