PageNoteFound
Senior Member
- Aug 18, 2024
- 153
- 399
mkuu tupe mrejesho huko TCRA watu mtaingia? au watu waandae mashamba walime. PSRS wamekujaje awamu hii au wamevaa helement kabisaJamaa anauliza kama ajapangiwa kituo cha kazi anaweza akaripoti huku akisubiri kazi πππππ.
Kwanini watu hawataki kuishia LGA?πMamlaka ya ajira iliyotangaza nafasi za ajira kada za afya ni sekretarieti za mikoa na mamlaka ya serikali ya mtaa/LGA. Wizara ya afya kama mamlaka ya ajira haikutangaza nafasi za ajira!
Katibu wa Sekretarieti yaAjira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti zaMikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa inakaribisha maombi ya kazi kutoka kwaWatanzania wenyesifa na uwezo wa kujaza nafasi 9483 kama ilivyoainishwa katikatangazo hili.
NINAVYOFIKIRI: Baada ya usajili, na wizara ya afya ikiwa imeshapata kibali cha kuajiri iliamua kuchukua watu kutoka database! Waliokuwa wamewekwa database baada ya usajili wakajikuta wameokota dodo kwenye mwarobaini!! Wizara ikatoa placement kutoka database na waliokuwa wamefaulu zaidi wakiwa wanasubiria mamlaka zao za ajira zitoe placement na wengine kudhani hawakufaulu!! Kipindi hiki ndo LGA/halmashauri zimepamba moto kutoa placement!! Kwa maneno mengine watu kutoka database wamepangwa MDA/wizara na taasisi zake kama muhimbili, NIMR, nk wakati waliofaulu zaidi wameishia LGA!!
Za chini chini(sina uhakika) inasemekana wale walipelekwa Wizara ya Afya ndio walifaulu zaidiMamlaka ya ajira iliyotangaza nafasi za ajira kada za afya ni sekretarieti za mikoa na mamlaka ya serikali ya mtaa/LGA. Wizara ya afya kama mamlaka ya ajira haikutangaza nafasi za ajira!
Katibu wa Sekretarieti yaAjira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti zaMikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa inakaribisha maombi ya kazi kutoka kwaWatanzania wenyesifa na uwezo wa kujaza nafasi 9483 kama ilivyoainishwa katikatangazo hili.
NINAVYOFIKIRI: Baada ya usajili, na wizara ya afya ikiwa imeshapata kibali cha kuajiri iliamua kuchukua watu kutoka database! Waliokuwa wamewekwa database baada ya usajili wakajikuta wameokota dodo kwenye mwarobaini!! Wizara ikatoa placement kutoka database na waliokuwa wamefaulu zaidi wakiwa wanasubiria mamlaka zao za ajira zitoe placement na wengine kudhani hawakufaulu!! Kipindi hiki ndo LGA/halmashauri zimepamba moto kutoa placement!! Kwa maneno mengine watu kutoka database wamepangwa MDA/wizara na taasisi zake kama muhimbili, NIMR, nk wakati waliofaulu zaidi wameishia LGA!!
Walitakiwa kupangiwa walipoomba na kumbuka kibali kilikuwa cha tamisemi. Nadhani walioitwa tamisemi ndio walifaulu zaidi make hawa asilimia kubwa wanapangiwa walipoomba kama usahili ulivyowadirect ( sina uhakika)πZa chini chini(sina uhakika) inasemekana wale walipelekwa Wizara ya Afya ndio walifaulu zaidi
Tatizo la LGA ni usumbufu wa madiwani!! Pia hofu ya wakurugenzi kuhusu usalama wa nafasi zao!! Akitembelea kiongozi kwenye kata husika watumishi wote wa halmashauri lazima wawepo hata kama ni jumapili!! Kwenye mikutano ya hadhara watumishi hulazimika kujibu kero za wananchi papo kwa papo! Ole wako usihudhurie mkutano wa hadhara halafu idara yako ikatakiwa kujibu hoja!! Mishahara ni sawa lakini usumbufu si sawa!!Kwanini watu hawataki kuishia LGA?π
Kujiongeza kabla ya kupata bosi ni sawa nta bila asali
Kanuni za PSRS hazikubaliani na hoja hiyo!! Mamlaka ya ajira iliyoomba watumishi ndio inapewa kipaumbele!! Kumbuka PSRS wanafanya kwa niaba ya waajiri!! hawawezi kubadilisha!! Waliopangwa wizara ya afya na taasisi zake hao ndo walikuwa na alama za chini!! Kitu kibaya kilichotokea ni kuita watu wa database kabla ya waliokuwa wamechaguliwa!! Ni sawa ni kuita second selection mwazo kabla ya first selection kujiunga na form five au form one!! It was a grave mistake!Za chini chini(sina uhakika) inasemekana wale walipelekwa Wizara ya Afya ndio walifaulu zaidi
Ujobless huu unatutia uchizi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ni kweli mkuuHalafu usiache kuangalia majina yote kwa kila PDF
TRC walichukua watu wanne electrical mwezi wa saba..Mwezi wa tatu yule jamaa aliyepata ajira hospitali ya Benjamin Mkapa kama Electrical Engineer .
Jamaa chenga sana hawa
Mkuu hii interview gan ya electrical engineer.? I mean ni shirika gan na ilitangazwa linKwanza umepangiwa kituo gan,kwenye account yangu mbona sioni kituo
ni electrical uyoMkuu hii interview gan ya electrical engineer.? I mean ni shirika gan na ilitangazwa lin
Yaan wengine Hadi tumechokayaani mtu unafukuzia pdf mpaka unalewa yanπ€£π€£