El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
Naskia Utawala ameanza kulalamika mbona mshahara unachelewa 😂utumish sjui wanafeli wapi utawala2025 naskia yupo kwenye rangi sa hivi..
mwombe mungu tbc wakikuchomoa na wewe mwakani muda kama huu utakua ndio unaweka tilesNaskia Utawala ameanza kulalamika mbona mshahara unachelewa 😂
Sir God abless tuu 🔥🔥mwombe mungu tbc wakikuchomoa na wewe mwakani muda kama huu utakua ndio unaweka tiles
Ushavuka boda kakaUtumishi wanaringa sana, wanajiona wao ni first class citizens.
Nimefanikiwa kupata passport wiki iliyopita, kabla ya krismasi nasepa kupitia boda ya TundumaUshavuka boda kaka
bora ukapambane huko mikeka utaisikilizia hukohuko maana mikeka na interview zimekuwa adimu sana, jamaa sasa hivi hawaeleweki hawaNimefanikiwa kupata passport wiki iliyopita, kabla ya krismasi nasepa kupitia boda ya Tunduma
Mm nawatakia kazi njema wote, imani yangu inaniambia wote humu tutaajiriwa kitakachotofautisha ni muda na vituo vya kazi. Lakini niwakumbushe wanaotarajia kuajiriwa hakikisha unajiandaa vizuri sanaa.
Nawatakia usiku mwema.
wangekua wanatupia na pdf za taasisisi mbalimbali zenye ukubwa wa kutosha ingekua poa..Huu msako wa Utumishi wanaofanya kwenye Afya sio Poa 100%...
Hizi juhudi wazionyeshe pia kwenye Taasisi nyingine Pia....
Wapambanaji kufika 9/12 tuwe kwenye dimbwi la asali...
Tena wangejijenga zaidi kuaminiwa...wangekua wanatupia na pdf za taasisisi mbalimbali zenye ukubwa wa kutosha ingekua poa..
hapo mikeka ya afya bado inaendelea 2025 wanaanza na walimu naona wanabalance mzani maana hizi kada na wenyewe walisugua benchTena wangejijenga zaidi kuaminiwa...
Hii ya afya naona waliopita wote oral wapo dimbi la asali....
utumishi kwenye web yenu kuna picha ya dada ana taiti nyekundu naombeni muitoe mnatupa stress za kazi na mapenz maaaaamaaaaaaaaae