Wamekazana na afya as if hakuna wengine hawa jamaaa miyayusho sanakuna watu wa afya kama 500 hivi kila wiki watakua wanatoa watano watano
wamezingua aiseeWamekazana na afya as if hakuna wengine hawa jamaaa miyayusho sana
Hizo pdf za usaili kwa tarehe hizo ina maana wao hawana sikukuu ya kupumzika, kwa maana hapo watangaze na mpaka sahili zifanyike huwa wana toaga na muda wa siku tano au hata nne za kabla kwa wale interviewees wajiandae then ndio wanafanya usahili, ina maana mpaka Christmas kutakuwa na usahili..?Pdf zitamwagika kuanzia trh 15 za usaili na kazini
Mkuu sisi watuite tuHizo pdf za usaili kwa tarehe hizo ina maana wao hawana sikukuu ya kupumzika, kwa maana hapo watangaze na mpaka sahili zifanyike huwa wana toaga na muda wa siku tano au hata nne za kabla kwa wale interviewees wajiandae then ndio wanafanya usahili, ina maana mpaka Christmas kutakuwa na usahili..?
Naona umechoka mkuu..😀Mkuu sisi watuite tu
NaWale mliofanya usaili wa kuandika wiki iliyopita mmefanyia kwenye makaratasi au Online? Na maswali yalikuwa ya multiple choices au kujieleza? Ushuhuda tafadhali.
Nimegundua jamaa hawatabiriki nikujiandaa kivyovyote tu me mwezi uliopita nlifanya ya kuandika kwenye karatasi na ni essayWale mliofanya usaili wa kuandika wiki iliyopita mmefanyia kwenye makaratasi au Online? Na maswali yalikuwa ya multiple choices au kujieleza? Ushuhuda tafadhali.
Ni maswali mangapi na wanataka point ngapi ngapi kila swali? Na muda wanatengaje?Na
Nimegundua jamaa hawatabiriki nikujiandaa kivyovyote tu me mwezi uliopita nlifanya ya kuandika kwenye karatasi na ni essay
Mkuu nishawai ku fail hivi hivi na majibu nayaajua mtihan wote kisa swala la muda kwenye kuandika jau sana bora online kakaNi maswali mangapi na wanataka point ngapi ngapi kila swali? Na muda wanatengaje?
Ni noma kk hakuna vimuli mpka jtatuVimulimuli vime zima pote
Live mzee😂muda si mrefu halmashauri zinajaa kwenye advertisement
Dah hii unauma kinoma bora uwe huyajuiMkuu nishawai ku fail hivi hivi na majibu nayaajua mtihan wote kisa swala la muda kwenye kuandika jau sana bora online kaka
Yeah lkn nilipata saiv najua ni nini cha kufanya wakati mwingineDah hii unauma kinoma bora uwe huyajui
yaani utashangaa halmashauri yamejaa halafu ni yaleyale ya mwanzo sema wanabadilisha tarehe😀😀Live mzee😂
Nielekeze na mimi mzee maana sio poaYeah lkn nilipata saiv najua ni nini cha kufanya wakati mwingine
Unakutana na halmashauri ya Waging’ombeyaani utashangaa halmashauri yamejaa halafu ni yaleyale ya mwanzo sema wanabadilisha tarehe😀😀
Usiendike sana eleza kidg mistar miwili tia mfano sepa kkNielekeze na mimi mzee maana sio poa