Kutibu wadudu kwa binadamuHivi ndugu umesomea nini yaani taaluma yako?
ππππAsante sana Mwifwa kwakunipendekeza kwenye nafasi naahidi nitaifanya kwa utiifu na mwamvuli nitamshikia Prok asipigwe na juaSiku ya kufuata barua, naomba umwalike wizy akawe mpambe.
wizy kawa outstanding sana na mtoa miongozo hapa, anastahili jambo kaupambe kama hako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
ππππMzee wadudu na tai au phyz na tai huwa havikaa pamoja labda kwenye harusi tuHalafu mimi tangu nijitambue ilipokuwa na miaka 9 hadi 10, sijawahi kuvaa suti hadi sasa.
Labda nishawahi kuvalishwa huko utotoni.
Kuvaa tai kwenyewe nilipomaliza Olevel, sikuvaa tena nilikuja kuvaa mara moja kipindi nagraduate.
Saa ya mkononi mara mwisho kuvaa na kumiliki ilikuwa nilipomaliza Advance[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa mtindo huu huenda kuna mambo huwa napitwa ila mimi naona kawaida tu
ππππsasa ndo imisibehave iandike not selected kwako tu ??Hizo status ni misbehave ya system hazina reflect yyte kwenye placement i dont trust them
Mi kwng haijaandika hyo not selected π€£π€£ππππsasa ndo imisibehave iandike not selected kwako tu ??
ππππUnamtishia jobless atakulaani hahhhUshakandwa wewe tuliaπ€£π€£π€£π€£π€£
Kule kweny app naona ndo kunabadilika bdilika mara selecte for null mara selcted for wrtten mara selected for orallMi kwng haijaandika hyo not selected π€£π€£
ππππSasa selected for oral kweli??kwahyo imegoma kukuselect kwenye kazi inataka uishie oral tu?Mi kwng haijaandika hyo not selected π€£π€£
π€£π€£ we muache anaeza jikuta yamempata ya 2015 π€£π€£ππππUnamtishia jobless atakulaani hahhh
Hivi huyu jobless hawezi akatengeneza mavirusi siku akienda interview akawakanda nayo hawa jamaa wanachelewesha sana placement watu wameambiwa jumanne now wap wanarefresh website ya Ajira ila bado bila bilaππππMzee wadudu na tai au phyz na tai huwa havikaa pamoja labda kwenye harusi tu
Huu utakuwa uchawa sasa [emoji23]Siku ya kufuata barua, naomba umwalike wizy akawe mpambe.
wizy kawa outstanding sana na mtoa miongozo hapa, anastahili jambo kaupambe kama hako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
ππππKilichobaki watuue tuKule kweny app naona ndo kunabadilika bdilika mara selecte for null mara selcted for wrtten mara selected for orall
Mlandizi now yesJana nilikosa tiketi hapo mida ya saa nane mchana, nikaamua niende nanenane nikaenda kupanda Dolphin.
Saa 4 na nusu usiku nikawa nimeshushwa hapa Viunga vya Kibaha.
Sasahivi bila shaka utakuwa unacheza kwenye maeneo ya Mlandizi
Sisi watu wa ict mzee π€£π€£ππππSasa selected for oral kweli??kwahyo imegoma kukuselect kwenye kazi inataka uishie oral tu?
ππππHahhhhh kwahiyo akawakande na mavairasi au sio hahhhHivi huyu jobless hawezi akatengeneza mavirusi siku akienda interview akawakanda nayo hawa jamaa wanachelewesha sana placement watu wameambiwa jumanne now wap wanarefresh website ya Ajira ila bado bila bila
Njoo nikuuzie saa ya mkononi ya kwenda kufatia barua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu mimi tangu nijitambue ilipokuwa na miaka 9 hadi 10, sijawahi kuvaa suti hadi sasa.
Labda nishawahi kuvalishwa huko utotoni.
Kuvaa tai kwenyewe nilipomaliza Olevel, sikuvaa tena nilikuja kuvaa mara moja kipindi nagraduate.
Saa ya mkononi mara mwisho kuvaa na kumiliki ilikuwa nilipomaliza Advance[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa mtindo huu huenda kuna mambo huwa napitwa ila mimi naona kawaida tu
Itokee mara ngapi sana mie nasubri mkeka wa IAE. Huo mwingine Ushachanikaπ€£π€£ we muache anaeza jikuta yamempata ya 2015 π€£π€£
Nyie inaishiaga hapo angalia kwenye app ikileta selected for ππππSisi watu wa ict mzee π€£π€£