Wasiliana na PSRS waeleze wanaweza kuiweka hiyo course.Wakuu,
Msaada. Ikiwa course uliyosoma kwenye mfumo wa ajira portal haipo hyo course inabidi anafanyeje?
Tumia barua hiyohiyo ya utambulisho na usisahau kablasha lako la vyeti ili wakitaka hata cheti cha kuzaliwa unakuwa nacho.wakuu naomba kuuliza kwa wale wanaofuata barua utumishi na huna kitambulisho ila una namba ya NIDA jee kuna ugumu wowote unatokea na kama upo solution yake ni ipi maana kwenye interview unaweza enda na barua ya utambulisho basi unakuwa ume solve hilo
Poa!Wasiliana na PSRS waeleze wanaweza kuiweka hiyo course.
Course nyingi hazikuwepo kwenye mfumo, ila baada ya kushtuliwa wakaziweka
Sio lazima uende mkuu. Hata kwenye gazeti la mwananchi we katangaze. Nunua gazeti lao, tafuta mawasiliano yao huwa wanaweka page ya kwanza nadhani.*wakuu nimepoteza lesseni ya gari na pass ya kusafiria na documents nyingine muhimu. Wamenitaka nikatangaze kwenye gazeti la serikali. Naomba kuuliza hapo zilipo ofisi za gazet la serikali
Mmh haiwezi kuleta shida mkuuSio lazima uende mkuu. Hata kwenye gazeti la mwananchi we katangaze. Nunua gazeti lao, tafuta mawasiliano yao huwa wanaweka page ya kwanza nadhani.
Aaa qu ma ma ma ma ni yaani wengine zile kuitwa kwa interview mpaka mwez wa 6 aiseenaona walimu wamefikiwa
AmenHappy new year wakuu, kila la kheri katika mwaka huu mpya ukawe mwaka wenye neema na mafanikio Tele sote tukapate kazi, Kheri ya mwaka mpya wakuu
Walimu kama nawaona huko waliko......Aya Walimu mjiandae Sasa kwanzia tarehe 14 Jan hadi 24 Feb ni mwendo wa kukandwa tuu pia utapangiwa kazi sehemu yoyote ile hapa Tanzania kutokana na ufaulu wako
Ambao hawajaitwa ni mpaka mwez wa 8 kuitwa tena apo waalimu watakuwa wamemalizana na sekretarietpdf zitakua adimu sana
si mchezo kama watu wa afya tu ilikua vile sipati picha walimuAmbao hawajaitwa ni mpaka mwez wa 8 kuitwa tena apo waalimu watakuwa wamemalizana na sekretariet
ππππ....Ambao hawajaitwa ni mpaka mwez wa 8 kuitwa tena apo waalimu watakuwa wamemalizana na sekretariet
Kwakweli mkuu maana hapa tulipo tuna miezi'8 inafika tangu mtu unaomba kazi unasubiri mpaka unasahau kama kuna kazi uliomba miezi nane iliopita kwahio hilo halina budi kutokea tu kwa sasa.Ambao hawajaitwa ni mpaka mwez wa 8 kuitwa tena apo waalimu watakuwa wamemalizana na sekretariet
Kwa Dar ofisi za gazeti zinaangaliana na Tazara*wakuu nimepoteza lesseni ya gari na pass ya kusafiria na documents nyingine muhimu. Wamenitaka nikatangaze kwenye gazeti la serikali. Naomba kuuliza hapo zilipo ofisi za gazet la serikali
Pale TSNKwa Dar ofisi za gazeti zinaangaliana na Tazara
Nilishapata mkuu zipo pale GSPSA paleKwa Dar ofisi za gazeti zinaangaliana na Tazara