Ndio mkuu hujaenda na alama za nyakati watu wanataka kusikia niniMkuu mm tena?
nakushauri somea ktu ambacho tayar una connection. yaan ukihitimu tu uwe na coonections ya mtu wa kukupa kazi vingnevyo bora ujikite kwny kilimo mana naskia huko katavi mahindi yanakubali sana.Oya wazee mimi ni mwalimu nimekua na option tofauti tofauti, niko na miaka 27, nina degree ya ualimu na niko halmashauri, nipo na option nyingi ya kusoma degree, kwasababu nilisoma Pcb na nina div 2 ya 11, nataka nikasome diploma ya civil engineering au architecture?..vipi niko kwenye njia sahihi?, maana naona ni bora kuliko degree ya ualimu uku mpwimbe katavi.
Sio kweli mkuunyie kupata kazi ni kama kumsukuma mlevi
Hapana sio tapeli, ww mpe tuu hy pesa nae atakuweka kwenye systemau tapeli mkuu
Kwahy n mwendo wa kulalamika kwenye kila jambo 😂Upo sahihi Mkuu maana watu wanalalamika majina ya interview ayatoki lkn yakitoka ndio tunaanza kulalamika why cut point ilikuwa 70 na sio 50
Mkuu kuna ushauri na faraja...mimi nimetoa ushauriNdio mkuu hujaenda na alama za nyakati watu wanataka kusikia nini
Sawa mkuu yote sawaMkuu kuna ushauri na faraja...mimi nimetoa ushauri
Sawa ndugu yangu ngoja nifanye hivoHapana sio tapeli, ww mpe tuu hy pesa nae atakuweka kwenye system
Kuwa makin Sana Mzee nakumbuka kwenye oral yetu jamaa flani hivi wa Utumishi alituambiaau tapeli mkuu
Connection ipo ya kutosha mzee, halmashauri niliopo hakuna engineer Wala IT, na serikali haiajiri, sasa afsa utumishi mwenyewe alinambia nikasome hiyo, lakini halmashauri ni starting point, ukifika unapambania kuhama kwenye taasisi au mashirika.nakushauri somea ktu ambacho tayar una connection. yaan ukihitimu tu uwe na coonections ya mtu wa kukupa kazi vingnevyo bora ujikite kwny kilimo mana naskia huko katavi mahindi yanakubali sana.
Na je ikitokea watu wa utumishi wakakupigia sim kujitambulisha na wakakuambia chet Chako Cha form four hakionekan vzur uscan then wanakupa email ukitume tena je na hao ni matapeli?Kuwa makin Sana Mzee nakumbuka kwenye oral yetu jamaa flani hivi wa Utumishi alituambia
" baada ya kumaliza oral ikitokea tapeli yoyote anajifanya ni mtu wa Utumishi na anakuomba hela ili upate hii nafasi kuweni makini Utumishi Huwa atupitii hizo njia"
Mwisho wa kunukuu.
Hivi mkuu ulifanikiwa kulamba asaliMkuu kuna ushauri na faraja...mimi nimetoa ushauri
yes it's a good idea kapige ktabu mzee, kwan kgoma ulihama?Connection ipo ya kutosha mzee, halmashauri niliopo hakuna engineer Wala IT, na serikali haiajiri, sasa afsa utumishi mwenyewe alinambia nikasome hiyo, lakini halmashauri ni starting point, ukifika unapambania kuhama kwenye taasisi au mashirika.
Ndio huu mwez wa nne umeisha...Hivi mkuu ulifanikiwa kulamba asali
Nimekuelewa kaka nasisi alituambia haya maneno yule mwambaKuwa makin Sana Mzee nakumbuka kwenye oral yetu jamaa flani hivi wa Utumishi alituambia
" baada ya kumaliza oral ikitokea tapeli yoyote anajifanya ni mtu wa Utumishi na anakuomba hela ili upate hii nafasi kuweni makini Utumishi Huwa atupitii hizo njia"
Mwisho wa kunukuu.
Daaah wanazingua aisee tangu tareh 25 hawajatoa au wanasubiri mkutano uishe.Utumishi wanatoa pdf la placements lininDaah azingua
Sidhani mbona advertisements wametangaza wakati mkutano ukiendeleaDaaah wanazingua aisee tangu tareh 25 hawajatoa au wanasubiri mkutano uishe.