Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tuzidi kuwaombea waalimu hasa wale ambao walikuwa hawataki usaili 😂

Screenshot_20250127-191414.png
Screenshot_20250127-191605.png
 
Nawasalim wote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania..
Hongereni sana kwa kuendelea na kazi nzuri ya kizalendo ya kujenga nchi yetu.
Mliofanikiwa kuingia kundini, karibuni sana na ambao bado msikate tamaa Mungu atatenda
 
Nawasalim wote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania..
Hongereni sana kwa kuendelea na kazi nzuri ya kizalendo ya kujenga nchi yetu.
Mliofanikiwa kuingia kundini, karibuni sana na ambao bado msikate tamaa Mungu atatenda
Unakatisha sana tamaa aisee
 
Back
Top Bottom