El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
kuna buyu la tpdc pale kwenye advertisementBuy Gani Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna buyu la tpdc pale kwenye advertisementBuy Gani Mkuu
Ah huko mkuu sisi watu maendeleo ya jamii sio kwetukuna buyu la tpdc pale kwenye advertisement
Sisi ngoja tusubiri utendaji wa Katakuna buyu la tpdc pale kwenye advertisement
Yaaani wanakupigia simu wao? Ili ujiongeze kupata kazi? Mbona kazi 😂ndio boss wangu
nyie kupata kazi ni kama kumsukuma mleviSisi ngoja tusubiri utendaji wa Kata
Tukatatue migogoro ya ndoa 😂
i mean wanakuomba chochote kitu ili jina lako waliweke kwenye placementsYaaani wanakupigia simu wao? Ili ujiongeze kupata kazi? Mbona kazi 😂
aloo sio poaTuzidi kuwaombea waalimu hasa wale ambao walikuwa hawataki usaili 😂
View attachment 3215717View attachment 3215718
Usikate tamaa mkuu kila mtu atalamba buyu la asali kwa wakati wakeNawashukuru sana wote humus kwatips zenu....
Mimi mwalimu, nilifanya Editor II nikakosa marks 6 , hii ya Kiswahili nimekosa marks 4 Nina hiyo 68
nazidi jifunza mengi toka kwenu .....nitarudi na ushuhuda
Nashukuru mkuu.... Nilifanya uzembe paper zote 2 nilikuwa nazimudu...najipanga zaidi.Usikate tamaa mkuu kila mtu atalamba buyu la asali kwa wakati wake
Sa hy namba yako wameipata wapi?Mbaga
aloo sio poa
Mbaga sor hivi inawezekana mtu kutoka utumishi akakupigia simu kukwambia umpe chochote kitu ili jina lako liingie kwenye placements za ajira.
Hiyo mbona mpya mkuuMbaga
aloo sio poa
Mbaga sor hivi inawezekana mtu kutoka utumishi akakupigia simu kukwambia umpe chochote kitu ili jina lako liingie kwenye placements za ajira.
Wakuuu somen aisee mambo ni mengi mnaona waalimu wa kiswahili wanavyo lalamika huko
kabla ya oral s huw tunasain namba na sanduku la posta mkuu huend ni hukoSa hy namba yako wameipata wapi?
au tapeli mkuuHiyo mbona mpya mkuu
Unakatisha sana tamaa aiseeNawasalim wote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania..
Hongereni sana kwa kuendelea na kazi nzuri ya kizalendo ya kujenga nchi yetu.
Mliofanikiwa kuingia kundini, karibuni sana na ambao bado msikate tamaa Mungu atatenda
Mkuu mm tena?Unakatisha sana tamaa aisee