Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
PDF mumeliona wadau?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana tunaosubiria kuitwa kwenye interviewMlifanya usaili lini?
PDF la mchongoPDF mumeliona wadau?
limejaa maderevaPDF la mchongo
Daaah kesho watushushie PDF la kueleweka ujobless ni mateso Sana kila muda unachungulia weblimejaa madereva
Uliomba kazi gani mkuu?Daaah kesho watushushie PDF la kueleweka ujobless ni mateso Sana kila muda unachungulia web
😀😀😀.....Mnatuambia tuache makasiriko Kiongozi....sahivi ata matangazo ya ajira yamekatika
😂😂🤣😀😀😀.....Mnatuambia tuache makasiriko Kiongozi....
Hilo swala sio geni kwa PSRS kama mfutiliaje wa mienendo yao ikifika mwisho wa mwaka wa budget.....
ndio,usifanye hasira chief,huu mchezo hauhitaji hasira, mimi nina received moja hiyo nilituma tarehe 28 mwezi wa 5,2024 naona iko vile vile mpaka leo😀😀😀.....Mnatuambia tuache makasiriko Kiongozi....
Hilo swala sio geni kwa PSRS kama mfutiliaje wa mienendo yao ikifika mwisho wa mwaka wa budget.....







naona nina received ya 2022ndio,usifanye hasira chief,huu mchezo hauhitaji hasira, mimi nina received moja hiyo nilituma tarehe 28 mwezi wa 5,2024 naona iko vile vile mpaka leo![]()
Engeneer salama leko🤣naona nina received ya 2022View attachment 3213571
RMA mkuuUliomba kazi gani mkuu?
Kiongozi mimi ninayo ya mwaka 2022 received ...bado sijakata tamaa ninaendelea na maandalizi ya Interview 😀😀😀ndio,usifanye hasira chief,huu mchezo hauhitaji hasira, mimi nina received moja hiyo nilituma tarehe 28 mwezi wa 5,2024 naona iko vile vile mpaka leo![]()
Kwa sababu hizo ajira hazipo ni maigizo tuWanajamvi,
Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
aleko msalamuEngeneer salama leko🤣
Boss iv ulifanyaga interview nyengne au ndo Ile ya 2023aleko msalamu
sijawahi kufanya tena tangu 2023Boss iv ulifanyaga interview nyengne au ndo Ile ya 2023
Leo wamejitajidi Kuna mwanangu kalamba asali ..hivi na jpili wanatoaga kwel au ndo tusubiri mpaka j3???Mmeliona pdf la leo??