Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Huu uzi nakumbuka 2021 hivi kwanza mwifa yupo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].


Utumishi walichonifanya gaddem shit


At last Jeshi likaniokoa


Kila mtu ana wakati wake
Sema mwanangu ulienda Kiwira kimya kimya.😀.

Kushtukia tukakuona mitandaoni unaapa.
 
sio za utumishi kivipi tena rahsully hizi si ni zile zilizotoka mwaka jana mwez wa nane mwaka jana.kwan walishawahi kutoa post nyingine ya electrical engineer tofauti na zile..??
Walitoa lakin haikupitia utumishi,maombi yalitumwa kwa njia ya email,,
 
Dah nimewamiss sana watu wa Mungu,hata sikumbuki nliishia page ipi nicatch up.
Yote kwa yote Halmashauri kiboko jamani😭😢🙌🏾.

Am grateful nina kazi but dah maisha ni magum jamani i wish nihame. Yani apart from mshahara hakuna nachopata najua mtu hawezi amini,yani no posho no nini😢 unajikuta huna hata akiba.

Those times what mattered ilikua “cha muhimu uingie kwenye system , upate cheque number” haya sasa hivi ni kustruggle kupata green pasture kama kwenye maatasisi huko.

Nikiwaza sisi ndo wale tusio na connection nachoka🙌🏾, yani hujui hata uanzie wapi dah

Anyways nimewamiss sana nyie watu, nipo hapa nilipo kwa sababu Mungu alinitambulisha kwenu, na mkanisaidia mm kufika hapa,mbarikiwe sana nawapenda mnooo

Been a year now, sina amani nilipo lakini at least am not jobless, kama ambavyo sikujua ningepataje huku na nikapata i believe pia nitatoka kwenda mahali pazuri zaidi.

Some of us we have not had it easy kwenye maisha yetu, hatuna mapesa hatuna connection so miujiza tu ya Mungu.

Ukichek wenzio daily wanahama tu kwenda kwenye maatasisi mara Mkurugenzi abanie barua drama za hapa na pale, unabaki unakodoa macho tu like God when na mimi😢

Mtu anaripot anakaa miez 6 shwaaaa hadi raha,halafu kuna akina sisi. Yani nipo mkoa mgumu sana i wish mtu aelewe mana nje mzunguko hakuna kufungua biashara kwa mtu kama mm ni kama tu unatupa hela🙌🏾

Yani ndani ntiti nje ntiti,kheri kazin kungekua mtiti sawa mtu unaweza jibana ukaanzisha kakitu kwa kuwa kuna population kitaprosper bt huku watu hakuna kilimo ndo usiguse yani kama cursed place🙌🏾

Tupeane mbinu jamani tunatokaje huku Halmashauri😢

I have so much to say kwa moyo wangu😢
Upo mkoa gani ?
 
utumishi waliupdate pdf la placement la leo usiku sasa hivi naona wameliondoa itakuwa shida nini wakuu!!
 
utumishi waliupdate pdf la placement la leo usiku sasa hivi naona wameliondoa itakuwa shida nini wakuu!!
Inasemekana Kuna wajina yamejirudia (upande wa walimu) yaani kweny mkeka wa tarehe 6 na mkeka wa Leo Kuna majina yamejirudia tena ndo mana wamefuta
 
Imekuaje Tena utumishi walitoa pdf mbili zakuita watu kazini Sasa hivi wamezitoa zote
Inasemekana Kuna wajina yamejirudia (upande wa walimu) yaani kweny mkeka wa tarehe 6 na mkeka wa Leo Kuna majina yamejirudia tena ndo mana wamefuta
Ni kweli inabidi wajipange vizuri kwahali hii mtu anaweza kupata double placement Sema Hizi za walimu jamaa Wana kazi sana mpaka zije ziishe
 
Imekuaje Tena utumishi walitoa pdf mbili zakuita watu kazini Sasa hivi wamezitoa zote
Ni kweli inabidi wajipange vizuri kwahali hii mtu anaweza kupata double placement Sema Hizi za walimu jamaa Wana kazi sana mpaka zije ziishe
Wanaenda nazo mdogo mdogo mpk mwezi wa kumi ili Mama apite kwa kishindo
 
Imekuaje Tena utumishi walitoa pdf mbili zakuita watu kazini Sasa hivi wamezitoa zote
Ni kweli inabidi wajipange vizuri kwahali hii mtu anaweza kupata double placement Sema Hizi za walimu jamaa Wana kazi sana mpaka zije ziishe
Ni wengine Sana sisi kada zengine ni mwendo wa Kobe tu
 
Hivi application ya TRA lazima birth certificate na transcript navyo viwe certified?
 
Back
Top Bottom