Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Huu uzi nakumbuka 2021 hivi kwanza mwifa yupo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].


Utumishi walichonifanya gaddem shit


At last Jeshi likaniokoa


Kila mtu ana wakati wake
Sema mwanangu ulienda Kiwira kimya kimya.😀.

Kushtukia tukakuona mitandaoni unaapa.
 
sio za utumishi kivipi tena rahsully hizi si ni zile zilizotoka mwaka jana mwez wa nane mwaka jana.kwan walishawahi kutoa post nyingine ya electrical engineer tofauti na zile..??
Walitoa lakin haikupitia utumishi,maombi yalitumwa kwa njia ya email,,
 
Upo mkoa gani ?
 
utumishi waliupdate pdf la placement la leo usiku sasa hivi naona wameliondoa itakuwa shida nini wakuu!!
 
utumishi waliupdate pdf la placement la leo usiku sasa hivi naona wameliondoa itakuwa shida nini wakuu!!
Inasemekana Kuna wajina yamejirudia (upande wa walimu) yaani kweny mkeka wa tarehe 6 na mkeka wa Leo Kuna majina yamejirudia tena ndo mana wamefuta
 
Imekuaje Tena utumishi walitoa pdf mbili zakuita watu kazini Sasa hivi wamezitoa zote
Inasemekana Kuna wajina yamejirudia (upande wa walimu) yaani kweny mkeka wa tarehe 6 na mkeka wa Leo Kuna majina yamejirudia tena ndo mana wamefuta
Ni kweli inabidi wajipange vizuri kwahali hii mtu anaweza kupata double placement Sema Hizi za walimu jamaa Wana kazi sana mpaka zije ziishe
 
Imekuaje Tena utumishi walitoa pdf mbili zakuita watu kazini Sasa hivi wamezitoa zote
Ni kweli inabidi wajipange vizuri kwahali hii mtu anaweza kupata double placement Sema Hizi za walimu jamaa Wana kazi sana mpaka zije ziishe
Wanaenda nazo mdogo mdogo mpk mwezi wa kumi ili Mama apite kwa kishindo
 
Imekuaje Tena utumishi walitoa pdf mbili zakuita watu kazini Sasa hivi wamezitoa zote
Ni kweli inabidi wajipange vizuri kwahali hii mtu anaweza kupata double placement Sema Hizi za walimu jamaa Wana kazi sana mpaka zije ziishe
Ni wengine Sana sisi kada zengine ni mwendo wa Kobe tu
 
Hivi application ya TRA lazima birth certificate na transcript navyo viwe certified?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…